Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Huo ni mchongo wa Dr Fadhili kupata wateja we huoni alivyo tengeneza scene vizuri?
Inawezekana kabisa.
Manake hizo picha ni kama wamepozi kabisa.
Halafu, nani anaendaga kwa tabibu na makamera ya picha? Mgonjwa gani huyo?
Na hivi, hivi huyo mdingi ana mtoto mmoja tu?