Maskini Baba Diamond, azidiwa ghafla

Maskini Baba Diamond, azidiwa ghafla

Hao wanaopiga picha si Ndio wanaopaswa kumuhudumia...?
 
Nakumbuka Qchief nae alikuwa hana mahusiano mazuri na baba kwa sbb kama hizo za kutelekezwa lkn alijiongeza wakayamaliza wakawa washkaji wazuri huyo huyo baba yake ndio akaja kumuokoa na uteja uliotukuka
Hivo kumbe
 
Siwezi kuingilia mambo ya familia au ugomvi wa diamond na baba yake ila mzee anapenda kiki,sasa ndio anafanya nini? Wakae na mtoto wake wayamalize,sasa kutumiwa na magazeti ya udaku na udaku wanapiga pesa kupitia yeye bila ya kujijua
 
Kama Mungu tunamkosea anatusamehe 7*70 naye ndiye aliyetuumba. Inakuwaje huyu Mondi kuona kosa alilofanya baba yake ni kubwa kiasi kwamba hawezi kumsamehe? Kama mtoto alipaswa kutambua hawezi pata baba mwingine zaidi ya huyo. Na asisubiri afe ndo aende kwenye msiba kwa mbwembwe. Namkubali Mondi ila kwa hili hapana.

msweety kumbe upo? Pacha wangu...... 😀😀😀😀Nafurahi kukuona hapa jukwaani😀😀😀😀
 
watu wanazini, watuwana toa roho za watu, wanafanya mapenz kinyume na maumbile, wanamtukana Mungu, wanaroga yan wachawi, wanaua maelfu ya vichanga hospitalin, wanadanganya,wanasengenya,wanatukana wazaz wao,wanatupa watoto wao, wanauza miili yao na mazambi mengine mengi mengi lakn wana misamaha chungu nzima toka kwa Allah.
Lakini diamondi anaona kama baba katenda zambi kubwa sana hapa duniani isiyosameheka kabisa.
kwa kweli diamond kama kafunga mwezi mtukufu wa ramadhan bs anataka kujaribu kumshika shalubu mwenyezi Mungu.
Mtume mohammad s.w katoa hadithi na mafundisho mengi sana kuonesha wazi kuwa wazazi wetu ndo njia yetu ya kwenda peponi na hata kuraani imeongea yote hayo. sasa nyie mnaomsifia diamond katka hili kiukweli mnakosea na mnafanya ajihc yupo sahihi kumbe anapotoka sana, haya.
 
watu wanazini, watuwana toa roho za watu, wanafanya mapenz kinyume na maumbile, wanamtukana Mungu, wanaroga yan wachawi, wanaua maelfu ya vichanga hospitalin, wanadanganya,wanasengenya,wanatukana wazaz wao,wanatupa watoto wao, wanauza miili yao na mazambi mengine mengi mengi lakn wana misamaha chungu nzima toka kwa Allah.
Lakini diamondi anaona kama baba katenda zambi kubwa sana hapa duniani isiyosameheka kabisa.
kwa kweli diamond kama kafunga mwezi mtukufu wa ramadhan bs anataka kujaribu kumshika shalubu mwenyezi Mungu.
Mtume mohammad s.w katoa hadithi na mafundisho mengi sana kuonesha wazi kuwa wazazi wetu ndo njia yetu ya kwenda peponi na hata kuraani imeongea yote hayo. sasa nyie mnaomsifia diamond katka hili kiukweli mnakosea na mnafanya ajihc yupo sahihi kumbe anapotoka sana, haya.
Haya mafundisho ya mtume sawa, lakini mtume alikuwa anamaanisha baba aliyetimza wajibu wake wa kumlea mwanae, hakumainisha baba ni baba, kufunga swaumu ni moja ya nguzo za uislam, haisiani na hiyo ya baba diamond
 
Back
Top Bottom