Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Una uhakika hajamsamehe na hamtunzi au kwa sababu ya scene ya kuugua?Nakumbuka huyu Mzee alishawahi muomba msamaha kijana wake halafu mtoto anashindwa kukubali msamaha wa baba yake. Yeye Dai anamkosea mangapi Muumba wake?
Tatizo nalo lipo kwa Mama yake, anaona alishaachana na huyo Mzaz mwenzake na ana maisha mengine so anaona Dai atamtunza mke mwingine wa huyo mzee. Uswahili umemjaa huyo mama