Maskini Baba Diamond, azidiwa ghafla

Maskini Baba Diamond, azidiwa ghafla

Nakumbuka huyu Mzee alishawahi muomba msamaha kijana wake halafu mtoto anashindwa kukubali msamaha wa baba yake. Yeye Dai anamkosea mangapi Muumba wake?

Tatizo nalo lipo kwa Mama yake, anaona alishaachana na huyo Mzaz mwenzake na ana maisha mengine so anaona Dai atamtunza mke mwingine wa huyo mzee. Uswahili umemjaa huyo mama
Una uhakika hajamsamehe na hamtunzi au kwa sababu ya scene ya kuugua?
 
Sioni ethics za udaktari hapa
Hakuna kitanda maalum cha kumfanyia mgonjwa uchunguzi
Glove imevaliwa mkono mmoja [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mwandishi/waandishi kuruhusiwa kuingia mpaka ndani ya chumba cha matibabu
Licha ya tukio zima kuonyesha wazi ni la kuandaa lakini walioliandaa daktari mgonjwa na waandishi kwa ufinyu wao mdogo wa akili kwa kukosa weledi (kudhalilisha tasnia ya udaktari )na hata uelewa wao wamekosa kabisa kutengeneza uhalisia wa tukio
Mgonjwa ni kanjanja
Daktari ni kanjanja
Mwandishi ni kanjanja
Na hata gazeti lenyewe ni kanjanja (inafika mahali unaona ni afadhali usome hata uhuru kuliko haya magazeti ya udaku)
Teh Teh huwa nikiona comments zako napata picha jinsi nyumbani kwako kulivyo jaa matunguri.
 
Hata kama mzazi alikutesa kwa namna gani hupaswi kulipiza ubaya kwa ubaya pia ukumbuke Hugo ndiye alikuleta duniani,ni heli ya Hugo diamond akamsaidia baba yake japo Paso na kuonana nae lkn mzee akajua msaada umetoka kwa mwanangu lkn anachokifanya hakipaswi kushabikiwa Leo huyo mzee ktk uhai wake ataona sasa lkn kesho ktk mauti yake yeye(mtoto)atakapokuja kukumbuka ayafanyayo Leo atatamani mzee Huyo aamke japo nusu SAA amsaidie na amshukuru japo apate radhi zake naamini c jambo jema uende kwenye hbdy umwage fedha na bado wanaadam wengine wakiteseka akiwepo mzazi wako hii ni dunia starehe chache ndio zinatupumbaza tufikie hapa,M/Mungu ni kwenye kujua zaidi.
Kwa hiyo baada ya kuona hii scene ya Fadhaget ndio umebaini kuwa Diamond kalipiza?
 
Huyu mzee mtu (Diamond )hata kama angeamua kusahau ya zamani; anaweza kuendelea kukaza kwa tabia yake ya kupenda kutumika! Yaani anakuwa tayari kulipwa Sh.50,000 ili kutengeneza headlines za Shigongo mbele ya wapuuzi!

Now let's take it kwamba Diamond hamjali; mbona hatusikii lolote kuhusu Queen Darleen wakati nae ni mwanae?! Ina maana hana ndugu hadi kila cku awe "anaokotwa" na majirani?! Na mtu mwenye akili timamu atafahamu kabisa kwamba Diamond anamfanyia makusudi kutokana na hii tabia yake ya kupenda kutumika!!
 
Hilo ni Tangazo la mganga kienyeji. Hapo Mzee keshachukua chake.

Yaani mgonjwa azidiwe Magomeni halafu tiba akaipate Mbezi beach Afrikana kwa mganga wa kienyeji!!!

Huyo jamaa yupo hapa Mbezi huu mwaka wa tatu anapiga sana fedha kwa kipimo chake kinachoitwa quantam magnetic analyser, eti ukikishika anawasha kompyuta kusoma magonjwa yote mwilini!! Hahaha
Yani nilipo fungua tangazo hili nilicheka sana yani huyu Fadhili Haule ni bure kabisa ameshindwa kumtumia Diamond anamtumia Baba yake kufanya matangazo...
 
Huyo mzee asingemtelekeza daimond, huyo daimond asingekuwa staa.

Kwa maana angemsomesha madrasa saa hii angekuwa sheikh mkubwa tu.

Au angemsomesha akafeli form four, akarudia rudia akishtuka ana 35 rain,

Au angemsomesha akawa afisa ugani nani angemjua!!!

KUNA KILE KIONEKANACHO KAMA LAANA KUMBE NI BARAKA, UNAHITAJI MACHO YA KUKIONA.
Basi na wewe zaa wako umtelekeze ili baadae aje kuwa star mkubwa!
 
malipo ni hapa hapa mbinguni ni bata tu
 
Diamond should learn to forgive and forget,ugomvi wa baba na mama hasiuendekeze maana kata ya hao wawili hakuna hata mmoja atakayemueleza Diamond ukweli wa kiaiini cha ugomvi wao,kila mmoja anamlaumu mwenzie ilihali kila mtu ana siri yake moyoni
Una uhakika hajamsamehe? Au kwa sababu ya scene hii ya Fadhaget?
 
Huyu mzee anatakiwa achukulie kuwa yule mtoto aliyemkataa(kama anavyodai diamond) alifariki muda..hapo ndio atakuwa na amani na atajiuguza vyema!!

Historia zinatuonesha kuwa hawa watoto wanaokosa malezi ya baba zao wanakuwaga na NYOTA kali Sana..
 
Baba ni BABA TU. Kwangu na kwako, kuzaliwa na Baba na Mama ni mpango wa Mungu. Waheshimuni Baba na Mama zenu ili mpate siku nyingi za kuishi.
 
Ijumaa kweli fundi hapa wanatafuta namna ya kumtangaza hyu Dr hamna chochote Dr mwenyewe ana mkataba na Risasi kuandika makala afu hyo hyo Dr ndo anahusika na matibabu ya mzee Abdul
Hapa hamna mgonjwa na kiki tu wanatafuta kumtangaza Dr Shame on you
Upuuzi mtupu hawa watu
 
Naona watu wanazizungumzia shahawa as if kila shahawa na donor wake wana-deserve same respect! Ingekuwa shahawa zote na donors wake vinastahili hadhi pasingetokea watu wa kuzimwagia kwenye kondomu huku wengine wakizimwaga chooni kwa punyeto! Na watu hayawani wanafikia hata hatua ya kuzimwaga kwenye matundu ya haja kubwa ya makahaba na wanaume wenzao. Shahawa yenye thamani inatoka kwa gentleman... kwanza hazimwagi hovyo hovyo! Na hata ikitokea amezimwaga kwa asiye mke wake na akatungisha mimba; ata-take full responsibility from day one! Ya nini kuzivika ufahari shahawa za mtu aliye tayari kulipwa Sh.50,000 na magazeti ya udaku ili yamchafue "mwanae"! Kama issue ni shida; kwanini haombagi msaada kwa Queen Darleen? Huyu Mzee ni wa hapa hapa mjini... ina maana hana ndugu hadi kila cku awe "anaokotwa" na majirani tena mbele ya kamera za Shigongo?! Mbona kuna wakati huwa anasaidiwa na huyo huyo Diamond lakini hayaiti magazeti ya Shigongo?!

Huyu si kwamba Diamond hamsaidii kabisa lakini tatizo la alitaka apate privilege kama anazopata Bi. Sandrah na kv hazipati; ndo vile tena akipewa chake na Shigongo anadaka na kutokea front page! Ni juzi tu hapa Diamond kam-wish kwenye Happy Father's Day...
Screenshot_2016-06-23-11-35-41.png


Ni nini hiyo kama c kumtambua? Lakini baba mwenyewe ndo hivyo tena; leo unaionesha dunia kutambua umuhimu wake kwako, kesho anapewa Sh.50,000 anatokea Front Page ili iambie dunia jinsi ulivyo roho mbaya!
 
hizi promo za zahanati zao wanaziita habari kweli? Baba anafika mapokezi picha, kuvuliwa viatu picha. Kwa hiyo waandishi walipewa taarifa ama mgonjwa alipigwa picha nadaktari kisha kuwatumia waandishi? SHIGONGO hana waandishi kwa kweli ama inawezekana MOND analijua hili na anaucheza huu mchezo.
 
usiangalie matokeo angalia na sababu ya matokeo pia...hawa wazee waliokula ujana enzi zao na kuwaacha watoto wao wakiteseka na mama zao huwaga siwaonei huruma kabisa.

Mimi pia yamenikuta kama hayo..naumwa nimelazwa Amana hospital na bi.mkubwa alikila pembeni uangu hana kitu baba yangu mzazi anashindana kuwatunza hela wakina Tx Moshi na Maalim Gurumo pale Amana Vijana center

Ni mtu mpumbavu tu anayeweza kukuelewa.
Bibilia inatuasa kushukuru kwa kila jambo na kutolipa kisasi.

Diamond akumbuke Mpaji ni Mungu, inawezekana sana kuwa kama sio kutoswa na huyo baba, asingekuwa hapo alipo Leo hii.

After all, kama atafanya ujinga kama wa baba yake, atakuwa amefanya kipi cha maana?

TWO WRONGS CAN NOT MAKE RIGHT.
 
Back
Top Bottom