Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Huo ni mchongo wa Dr Fadhili kupata wateja we huoni alivyo tengeneza scene vizuri?
kumtumia diamond ni ghali, kumtumia mzee Abdul ni cheaper, so ameminimize costYani nilipo fungua tangazo hili nilicheka sana yani huyu Fadhili Haule ni bure kabisa ameshindwa kumtumia Diamond anamtumia Baba yake kufanya matangazo...
hamna kitu, huyu anapenda ubwete tuNilishawahi kumuona live bado ana nguvu hajafikia umri wa kukaa chini Na kutunzwa ni ugonjwa tu kwasababu hata tembea yake ya tabu,mi ningemshauri D amtibie afanye Kama anatoa msaada kwa Mtanzania yeyote mwenye shida pengine ampeleke hata nje ya nchi pengine akipona akipata nguvu ya kujitafutia ataacha kulialia.
mzazi ndio ana wajibu wa kumtunza mtoto, mtoto kumjua mzazi ni msaada tuBaba ni baba tu hata kama ni shetani...Diamond Msaidie baba yako
Ugomvi wa baba yako na mama yako haukuhusu
Sahau yaliyopita...Mjali mzazi wako....
Wewe zi zao la damu yake...huna baba mwingine zaidi ya huyo
sasa mondi afanyeje mtu ambaye alimfukuza, au leo kabadilika, halafu huyu mzee ana ndugu wengi tu na watotoWewe nae ndo wale wale. Kusoma hujui hata picha huoni? Kama mond haja wahi sema ana tatizo na baba, bali tatizo ni mama mbona hamsaidii baba yake? Si angeacha ugomvi wa wazazi bila yeye kuonyesha wazi anambagua baba yake kwa ajili ya maneno aliyoaambiwa na mama yake? Mwambieni ukweli, kumtetea ndo kumpa kichwa. Yeye sio wa kwanza kutelekezwa. Hata wewe nahisi humjui dingi ndo mana naona unatetea sana.
kwani msibani si watu wengi huwa wanaenda ? hiyo sio big dealKikubwa ni kujifunza kusamehe mzee alikosa yamepita wanatakiwa kuangalia maisha mpya nataka kujua akifa huyo mzee kwenye msiba ataenda au ? Naisi diamond utoto pia unamsumbua au niseme ulimbukeni afande sele alikanwa na mama yke lkn alisamehe.
Kwako lazima isiwe big deal ila kwake lazima itakuwa big deal maana mzee itamsumbua maisha yke yote kwamba mzee alikufa kwa kukosa hela ya matibabu ambayo yalikuwa ndani ya uwezo wakekwani msibani si watu wengi huwa wanaenda ? hiyo sio big deal
Hqhaa kwa hiyo mkuu shahawa ziheshimiwe!!!!Omba Mungu awaweke mshuhudie kifo cha diamond siku moja..!
Ni mjinga sana! Angesamehe yaishe ila nadhani anajua kuwa anazo dhambi nyingi kuliko hii ya kuto msamehe baba yake ndiyo maana haoni umhimu.
Bila shahawa za huyu mzee uplatnum angeupata wapi? Anajifanya hajui mchango wa huyu mzee kwenye maisha yake! Shahawa zenyewe ni mchango kulijo kitu chochote kile klilicho changia uwepo wa diamond na jinsi alivyo..!
Hahahah ...mapozi ya still picture umeyashtukia kumbeKwa yeyote mdadisi, ni rahisi kugundua kwamba huyo baba wa diamond aliandaliwa kwamba achukuliwe picha huku akionekana kusaidiwa na wahudumu wa hapo hospital, ili kijana apakaziwe na magazeti ya udaku.
Alafu... iweje mzee aende kwenye matibabu huku akiwa amejiandaa na wapiga picha?
Alafu.... kama mzee alikwenda kupata matibabu, kwanini aliwaita makanjanja wa magazeti ya udaku ili wakipake kwa mwanae?
Agghhhh....[emoji51] [emoji51] [emoji51]
Kabisa mkuu.Hahahah ...mapozi ya still picture umeyashtukia kumbe
Kabisa mkuu.
Hapo huyo tabibu anajitangaza na udaku wanauza