Maskini Baba Diamond, azidiwa ghafla

Ijumaa kweli fundi hapa wanatafuta namna ya kumtangaza hyu Dr hamna chochote Dr mwenyewe ana mkataba na Risasi kuandika makala afu hyo hyo Dr ndo anahusika na matibabu ya mzee Abdul
Hapa hamna mgonjwa na kiki tu wanatafuta kumtangaza Dr Shame on you
 
Ur on an emergency to the hospital escorted by the camera crew , this looks so dramatising .. The Kick [emoji122][emoji122] kudos [emoji991][emoji991][emoji991][emoji991]
 
Docta kajitangaza kijanja
Sioni ethics za udaktari hapa
Hakuna kitanda maalum cha kumfanyia mgonjwa uchunguzi
Glove imevaliwa mkono mmoja [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mwandishi/waandishi kuruhusiwa kuingia mpaka ndani ya chumba cha matibabu
Licha ya tukio zima kuonyesha wazi ni la kuandaa lakini walioliandaa daktari mgonjwa na waandishi kwa ufinyu wao mdogo wa akili kwa kukosa weledi (kudhalilisha tasnia ya udaktari )na hata uelewa wao wamekosa kabisa kutengeneza uhalisia wa tukio
Mgonjwa ni kanjanja
Daktari ni kanjanja
Mwandishi ni kanjanja
Na hata gazeti lenyewe ni kanjanja (inafika mahali unaona ni afadhali usome hata uhuru kuliko haya magazeti ya udaku)
 
Halafu hiyo hospital ni jipu
Umeona hapo mapokezi?
Angalia mhudumu mmoja kavaa makubazi
Halafu huko ndani chumba cha daktari, daktari kapiga picha na mgonjwa wake kwenye pozi la kuandaa
Maelezo ya mgonjwa kuwa katumiwa pesa ya tax na daktari kisha akamtibu bure?
Wewe daktari umewasaidia wangapi kwa mtindo huu?njaa mbaya sana
 
Mgonjwa serious kabisa unaenda kwa Dr wa tiba asilia, yaani mtu hali mbaya kabisa kabisa unaenda kwa Dr huyo, alafu huyu mzee msanii kwanza hajatubu Kutoka moyoni mwake na hata magazeti wanamtumia ili kuuza habari zake, cha pili mzee chapombe bado anasa anazipenda. Alafu hata mm kama angekuwa baba yangu kwa staili hii sizani kama ningemsamehe, hapo nina uhakika asilimia mia global publisher wamempa ela na huyo Dr nae kampa ela kwa ajili ya kutangaza hiapitali yake lkn mgonjwa mimi hapo simuoni mzee huyu. Wangeniambia muhimbili, Amana, mwananyamala, kairuki lkn kwa hawa wezi hawa matabibu wa dawa asilia mtu anaenda Kusaga mikokwa ya maembe kesho anakuambia dawa hebu mzee kama anataka msamaha aache drama hizi zinamuaharibia.
 
Fuatilia habari za huyo mzee kwenye magazeti na tv za udaku utabadili mtazamo wako
Ishu ya ugonjwa si jambo la maskhara hata kidogo...! Ukifika pale Muhimbili au ocean road utapata picha kamili
Hivi mtu mgonjwa kweli anayeumwa hasa anaweza kupata muda wa kukaa na kupigwa picha za kujiandaa?
 
Naona jamaa kaamua kutembelea mgongo wa Diamond Platnumz kutangaza biashara yake,
 
Kumbe
 
Shigingo nu noomaa. Yani story inaandaliwa kama movie. Eti Dr. alituma hela ya niniii!!??

Dahh... Na litauza kweli hili.
 

anayemsikiliza mama ni mtoto mdogo ndugu! yule naye anamiliki mmama mwingine anayiakili yakupima na kuchuja mwenyewe mazuri anayaona mabaya anayaona! rafiki wa kweli na mbaya anamjua bana yake angekuwa rafiki wa kweli wasingefikia hapo.
 
Well you reap what you sow. ukipanda bangi usitegemee kuvuna mahindi!
 
Mwenyewe nashangaa[emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Tatizo sio kusamehe, tatizo lipo kwenye kusahau. Kusahau uliyotendewa ni ngumu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…