Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Umenikumbusha CCJ ya akina MlambazoteHaya wacha tuone mwisho wa picha kama sterling ata-survive au lah, kile chama kitapata Usajili rasmi au itakua ni delay technique??
Mapacha watatuHaya wacha tuone mwisho wa picha kama sterling ata-survive au lah, kile chama kitapata Usajili rasmi au itakua ni delay technique??
Yajayo hayafurahishi kwa jirani
View attachment 3056399
Wakabebe na jenezaComeback ya timu Magufuli inatisha
Sasa wamebadilika, watakuja na uzanzibar wakeKuna wajinga na mafala Fulani walisema tunamsema SAMIA kwasababu ni muislamu lkn walisahau kuwa wachawi wapo nae ndani CHAMA...
Professionals WA kuiba Kura na kutubuKumbe hawa ni mapacha watatu...ukimzingua mmoja unawagusa wote🤨🤨🤨
Naaaaaam naaaaaamMaji yamekorogeka wakati wa kiu na jua kali.
Itapata UsajiliUmenikumbusha CCJ ya akina Mlambazote
Hata sijui iliishia wapi, ilitajwa kuwa ni ya akina marehemu Sita miaka ya 2010Itapata Usajili
Na Nape alikua mmoja WA Vijana WA Mzee SixHata sijui iliishia wapi, ilitajwa kuwa ni ya akina marehemu Sita miaka ya 2010