Maskini CCM "hakuna migogoro"

Maskini CCM "hakuna migogoro"

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Haya wacha tuone mwisho wa picha kama sterling ata-survive au lah, kile chama kitapata Usajili rasmi au itakua ni delay technique??

Yajayo hayafurahishi kwa jirani

IMG-20240729-WA0042.jpg
 
Kuna wajinga na mafala Fulani walisema tunamsema SAMIA kwasababu ni muislamu lkn walisahau kuwa wachawi wapo nae ndani CHAMA...
 
Huko hakupo sawa, tukianzia yule mshika kalamu wa Mheshimiwa ndiko vuguvugu lilipoanzia mpaka sasa moto unawaka.

Ngoja niishie hapa kwanza.
 
Back
Top Bottom