Ndiyo sababu mtu kama lowasa anaweza kusimama jukwaani leo kuomba kura awe rais.Well,
Kusahau haraka ni jadi yetu watanzania!
nakuu kweli siasa mchezo mchafu ila kwa maana hii ukijaribu kuchafua ndio inakupoteza katika harakati za kutimiza matakwa ya mrengo wa pili na ambao walikua wafadhili wake hatimaye dr. slaa amepotea kwenye siasa za bongo kama mttu aliyezombwa na mafuriko ambavyo ua anacheka hovyo kumbe anaenda kilindini tayari kwa kifo
Naye dr. amesahaulika kama ambazo JOHN OKELLO alivyosahaulika kuwa ndiye champion wa mapinduzi ya zanzibar
***** MASKINI SLAA****
Well,
Kusahau haraka ni jadi yetu watanzania!
Kondom haitumiwi mara mbili,kondom ikishatumika baaaaas.
Anavuna mihogo
Mkuu kumbe wewe unasahau haraka?au wewe sio mtanzania.
Mchumba wake kamponza