nakuu kweli siasa mchezo mchafu ila kwa maana hii ukijaribu kuchafua ndio inakupoteza katika harakati za kutimiza matakwa ya mrengo wa pili na ambao walikua wafadhili wake hatimaye dr. slaa amepotea kwenye siasa za bongo kama mttu aliyezombwa na mafuriko ambavyo ua anacheka hovyo kumbe anaenda kilindini tayari kwa kifo
Naye dr. amesahaulika kama ambazo JOHN OKELLO alivyosahaulika kuwa ndiye champion wa mapinduzi ya zanzibar
***** MASKINI SLAA****
Naye dr. amesahaulika kama ambazo JOHN OKELLO alivyosahaulika kuwa ndiye champion wa mapinduzi ya zanzibar
***** MASKINI SLAA****