Mzuka wanajamvi!
Nawaambieni ukweli kabisa. Kama wewe ni maskini ama una hali mbaya kimaisha usihuzunike, usilie, usilaumu, usilalamike na usimlaani yoyote.
Bali furahi tembea kifua mbele jivunie umaskini wako kwani ni wa muda tu.
Kwasababu baada ya kifo maskini wote watakuwa matajiri milele. Wee fikiria tu milele you will be well off.
Cha kushangaza sasa matajiri wote baada ya kufa watakuwa maskini milele believe me.
Sasa ni bora tu kuwa maskini duniani miaka 70 hivi, ukifa unakuwa fogo mazima. Kuliko kuwa tajiri duniani kwa muda mfupi ukifa unapiga mizinga milele.
Ipi bora hapo sasa si kuwa maskini tu ili baadaye ukifa unakuwa tajiri milele?
Sijui naeleweka wanajamvi wenzangu. Wengine kama kina adriz watakimbilia kusema natumia strong substances yes ofcoz I use na zinanisaidia kureason critically. Na ukweli ndio huo.
Good news kwa matajiri duniani ni kusaidia wahitaji mayatima, wajane n.k. Kwa kufanya hivyo angalau unajiwekea guarantee ukifa utapata msaada wa milele kutoka kwa waliokuwa maskini.
Pia hivyohivyo kwa sisi watu weusi wala tusilalamike sana uonevu na ubaguzi tunaopitia kutoka kwa watu weupe. Kwasababu baada ya haya maisha tutakuwa dominant race milele na tutalipiza kisasi.
Poverty is a blessing in disguise ikumbatie na uichangamkie japo inauma bali kwa muda tu baada ya hapo ni bata milele.
Kikubwa ni mkono kwenda kinywani nangono.
N de A
Nawaambieni ukweli kabisa. Kama wewe ni maskini ama una hali mbaya kimaisha usihuzunike, usilie, usilaumu, usilalamike na usimlaani yoyote.
Bali furahi tembea kifua mbele jivunie umaskini wako kwani ni wa muda tu.
Kwasababu baada ya kifo maskini wote watakuwa matajiri milele. Wee fikiria tu milele you will be well off.
Cha kushangaza sasa matajiri wote baada ya kufa watakuwa maskini milele believe me.
Sasa ni bora tu kuwa maskini duniani miaka 70 hivi, ukifa unakuwa fogo mazima. Kuliko kuwa tajiri duniani kwa muda mfupi ukifa unapiga mizinga milele.
Ipi bora hapo sasa si kuwa maskini tu ili baadaye ukifa unakuwa tajiri milele?
Sijui naeleweka wanajamvi wenzangu. Wengine kama kina adriz watakimbilia kusema natumia strong substances yes ofcoz I use na zinanisaidia kureason critically. Na ukweli ndio huo.
Good news kwa matajiri duniani ni kusaidia wahitaji mayatima, wajane n.k. Kwa kufanya hivyo angalau unajiwekea guarantee ukifa utapata msaada wa milele kutoka kwa waliokuwa maskini.
Pia hivyohivyo kwa sisi watu weusi wala tusilalamike sana uonevu na ubaguzi tunaopitia kutoka kwa watu weupe. Kwasababu baada ya haya maisha tutakuwa dominant race milele na tutalipiza kisasi.
Poverty is a blessing in disguise ikumbatie na uichangamkie japo inauma bali kwa muda tu baada ya hapo ni bata milele.
Kikubwa ni mkono kwenda kinywani nangono.
N de A