Maskini furahini na mshukuru umaskini wenu duniani kwani ni baraka

Maskini furahini na mshukuru umaskini wenu duniani kwani ni baraka

Umaskini ni dhambi
Umaskini ni laana
Duh...
Hamna laana mbaya kama ufukara
Hii ni dhana mbaya , imagine mwengine kazaliwa katika familia ya kimasikini halafu mlemavu na amepambana ila kashindwa kujikwamua sasa ataingiaje kwenye kundi la laana na dhambi ? halafu unakuta mtu tajiri kapata kwa njia za Magendo ,wizi , biashara haramu , utapeli na dhuluma halafu yeye hana dhambi Wala laana kwa mtizamo wenu.

Wapo Manabii na Mitume ambao waliishi katika umasikini je wao ni laana au Wana dhambi ?

Umasikini sio kitu kizuri kujivunia ila unaposema laana au dhambi ni makosa maana neno laana ni kubwa sana kwani Ina maanisha mtu ambaye hatazamwi kwa jicho la huruma na Mola wake pamoja na kufungiwa milango ya kheri , mfano wa kiumbe mwenye laana ni Ibilisi ...
 
Hii ni dhana mbaya , imagine mwengine kazaliwa katika familia ya kimasikini halafu mlemavu na amepambana ila kashindwa kujikwamua sasa ataingiaje kwenye kundi la laana na dhambi ? halafu unakuta mtu tajiri kapata kwa njia za Magendo ,wizi , biashara haramu , utapeli na dhuluma halafu yeye hana dhambi Wala laana kwa mtizamo wenu.

Wapo Manabii na Mitume ambao waliishi katika umasikini je wao ni laana au Wana dhambi ?

Umasikini sio kitu kizuri kujivunia ila unaposema laana au dhambi ni makosa maana neno laana ni kubwa sana kwani Ina maanisha mtu ambaye hatazamwi kwa jicho la huruma na Mola wake pamoja na kufungiwa milango ya kheri , mfano wa kiumbe mwenye laana ni Ibilisi ...
Kabla umaskini haujajidhihirisha mwilini, hujidhihirisha rohoni.

UTAJIRI nao unaanzia rohoni kisha unajitokeza nje.

Aonavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo.
Ukijiona ndani Yako wewe ni maskini, kamwe hutotoboa
 
Hii ni dhana mbaya , imagine mwengine kazaliwa katika familia ya kimasikini halafu mlemavu na amepambana ila kashindwa kujikwamua sasa ataingiaje kwenye kundi la laana na dhambi ? halafu unakuta mtu tajiri kapata kwa njia za Magendo ,wizi , biashara haramu , utapeli na dhuluma halafu yeye hana dhambi Wala laana kwa mtizamo wenu.

Wapo Manabii na Mitume ambao waliishi katika umasikini je wao ni laana au Wana dhambi ?

Umasikini sio kitu kizuri kujivunia ila unaposema laana au dhambi ni makosa maana neno laana ni kubwa sana kwani Ina maanisha mtu ambaye hatazamwi kwa jicho la huruma na Mola wake pamoja na kufungiwa milango ya kheri , mfano wa kiumbe mwenye laana ni Ibilisi ...
Umaskini ni dhambi mkuu ila ufukara uliopo kwa watu wengi chanzo huwa ni laana.

Huo mfano wako wa ulemavu umekaa zaidi kwa namna ya kimwili.
 
Back
Top Bottom