Maskini Messi, katimuliwa vumbi na Ronaldo! Kazi dawa goli 4!

Maskini Messi, katimuliwa vumbi na Ronaldo! Kazi dawa goli 4!

Na vipi kuhusu uhodari wa kutumia kwa usawa miguu yote miwili? Vipi kuhusu uwezo wa kutumia kichwa? Vipi uwezo wa kuruka hewani kugombea mipira ya juu kama kross ya juu vile? Maeneo yote hayo Messi ni cha mtoto kwa Ronaldo! Lakini hiyo ni tisa, kumi ni kwamba lengo kuu la mpira ni magoli na ndio kigezo pekee cha Ushindi! Lakini pia mshambuliaji yeyoye hupimwa kwa wingi wa magoli aliyofunga! Hicho ndicho kigezo cha kisayansi cha kuwalinganisha strikers very objectively.

Teh teh hapo kumbe Messi anatumia mguu mmoja na bado anamzidi Penaldo anayetumia miguu yote miwili! jiulize ingekuwaje kama Messi angekuwa anatumia miguu yote!
 
Na vipi kuhusu uhodari wa kutumia kwa usawa miguu yote miwili? Vipi kuhusu uwezo wa kutumia kichwa? Vipi uwezo wa kuruka hewani kugombea mipira ya juu kama kross ya juu vile? Maeneo yote hayo Messi ni cha mtoto kwa Ronaldo! Lakini hiyo ni tisa, kumi ni kwamba lengo kuu la mpira ni magoli na ndio kigezo pekee cha Ushindi! Lakini pia mshambuliaji yeyoye hupimwa kwa wingi wa magoli aliyofunga! Hicho ndicho kigezo cha kisayansi cha kuwalinganisha strikers very objectively.

Umeshaambiwa Ronaldo kapata goli hizo kwa mechi 38 dhidi ya mechi 31 za Messi
 
Na vipi kuhusu uhodari wa kutumia kwa usawa miguu yote miwili? Vipi kuhusu uwezo wa kutumia kichwa? Vipi uwezo wa kuruka hewani kugombea mipira ya juu kama kross ya juu vile? Maeneo yote hayo Messi ni cha mtoto kwa Ronaldo! Lakini hiyo ni tisa, kumi ni kwamba lengo kuu la mpira ni magoli na ndio kigezo pekee cha Ushindi! Lakini pia mshambuliaji yeyoye hupimwa kwa wingi wa magoli aliyofunga! Hicho ndicho kigezo cha kisayansi cha kuwalinganisha strikers very objectively.

Utakuwa umesahau alivyoruka hewan messi kufunga goli fainal za roma...
 
Umeshaambiwa Ronaldo kapata goli hizo kwa mechi 38 dhidi ya mechi 31 za Messi

We mbwiga kaangalie Ronaldo na Messi nani kacheza mechi nyingi la Liga msimu sipend watu kama nyie wapayukaji we una elimu gani
 
Mkuu messi sayari nyingine...Mwezi Nov akiwa majeruhi aliachwa kwa tafauti ya goli karibu 15 lakini mwezi machi mwaka huu alimkuta na kumpita,ulitakiwa ustuke hapo na kwa aina ya uchezaji wa messi ni tafauti na cr7 huyo we mlinganishe na kina Wayne rooney,Bale,suarez etc messi ni fighter kweli na pia hutokea akafunga lkn huyo mwenzake anasubiri aletewe!
 
Back
Top Bottom