Maskini mwenzenu heslb yasababisha kuua baba yangu na mama yangu


sasa itakuwaje cku ambyo wazazi wako watakufa ukweli, huon kuwa utapata shda ya kupata vyeti original vya vifo... Umefanya bonge la kosa ndugu
 


achana na wachungaji hawa. Soma maliza chuo kapige kazi.
 
sasa itakuwaje cku ambyo wazazi wako watakufa ukweli, huon kuwa utapata shda ya kupata vyeti original vya vifo... Umefanya bonge la kosa ndugu


acha kumtisha.. Njia alizotumia kupat vyeti feki ndizo hzohzo atazotumia kupata original. Hakuna kisichowezekana bongo
 
kama unyama unyama 2,killer ww usijifanye unajuta kiuongouongo hapaa......kama unataka nenda heslb ukawaambie kama ulicheat ili upate mkopo,,,hamna cha kujutia hapo bhana unyamaunyama kweni wamekufa kwli ??-? wewe ulidhamiria xo jamaaa other thngs happen just out of our control........
 
wewe veryfication inakusubiri kwa sababu wa2 ambao hawana wazazi wote wamo kwenye previous lonee list
 
wewe veryfication inakusubiri kwa sababu wa2 ambao hawana wazazi wote wamo kwenye previous lonee list

samahan mm sina wazaz wote na jina langu limetoka ktk yale majina ya general mwanzo na nina mkopo100%. Je jina langu litakuwepo pia ktk hiyo previous lonee list? Naomba unieleweshe kwa hilo mkuu.
 
samahan mm sina wazaz wote na jina langu limetoka ktk yale majina ya general mwanzo na nina mkopo100%. Je jina langu litakuwepo pia ktk hiyo previous lonee list? Naomba unieleweshe kwa hilo mkuu.
mkuu uciwaze fanya kusoma vizuri hapa that was ma observation coz machizi wengi mtaani kwetu wapo kwenye hiyo list na ni yatima,so nahisi cku-generelize kuwa ni yatima wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…