Maskini Rich Mavoko....

Kusema kweli Mshikaji amepoteza" ile inspiration/ motivation aliyokuwa nayo".....
 
Tatizo La mashabiki wa mziki wa bongo ni either team kiba au Mond sasa ukigombana na m1 Wapo hapo maana yake ni kwamba umegombana na mafans wake wote so Lazma ujipange kwa kutoa hit song ili waitazame huko youtube
 
Tatizo La mashabiki wa mziki wa bongo ni either team kiba au Mond sasa ukigombana na m1 Wapo hapo maana yake ni kwamba umegombana na mafans wake wote so Lazma ujipange kwa kutoa hit song ili waitazame huko youtube
Na sasa hivi team Kiba ndo wanampoteza,kama walivyompoteza Kiba wao hadi kakimbilia kwenye soka huko nako anayumba kweli kweli
 
Marketing is an art.. Tunashukuru sana kwa promotion
 
Kwahiyo ubora wa wimbo unaupima kwa views za Youtube???
Zile hitsong za Kina Jaymoe, Mb dog na akina Nature za miaka ya 2000 zilikuwa na views ngapi youtube?

Mbona Naogopa ngoma kali tu?
 
Point ya rich mavoko niliielewa sana ata maisha ya kawaida huwezi ukakubaliana na mtu utafanya kazi mwisho saa 12 afu anakutumikisha mpaka saa 2 kwa mshahara ule ule
kItu kingine rich mavoko mziki wake hauwezi kufa bado anafun base kubwa ata huko kenya ishu za views youtube imekuwa kama wasanii wanajifichia huko kusema inawalipa baada ya soko la shoo kupungua malipo ya youtube hayatabiriki usije ukaona mtu anaviews mil 10 ukazani zote zile analipwa anaejua zaidi atusaidie
 
Mavoko ndio nani tena?

Mmmmh sijawahi kulisikia hilo jina.
 
Kwahiyo ubora wa wimbo unaupima kwa views za Youtube???
Zile hitsong za Kina Jaymoe, Mb dog na akina Nature za miaka ya 2000 zilikuwa na views ngapi youtube?

Mbona Naogopa ngoma kali tu?
We jamaa na wewe kichwa kizito sana,miaka hiyo ya 2000 niambie nani alikuwa ana akaunti youtube? nani alikua anaweza kuachia ngoma via youtube only?
Najuta kupoteza muda wangu kukujibu.
 
Rich asipoanhalia tutamsahau kwenye muziki. Hiki ni kipindi anachotakiwa kuwa makini na kila afanyalo na asemalo.
 
Fact
 
Najiskia vibaya sana...tumsapoti Mavoko. Ana nidhamu sana huyu jamaa
 
Reactions: etb
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…