Maskini Rich Mavoko....

WCB ndio habari ya Mujini, unaona dogo Mbosso alivyopikwa hebu angalia na wenzie wa Yamoto akina Enock na Beka wanavyotapatapa maji shingoni afadhali Aslay anajitahidi na hii ni kutoka ya kwamba alianza mziki mapema
 
Nadhani hata baba yako atajuta kujua alizaa umegeuka MSUKULE WA DOMO
 
Mpaka leo Ngedere Viewers 902 na Naogopa Viewers 402...
 
Sawa HAMISO MOBETO
POVU!!!!!!!!!!!!,naona ume panic mtoto wa kiume una mashauzi utafikiri mwanamke,eti hoo mimi sifuatilii mziki wa bongo kumbe unazijua mpaka Diamond karanga,Wasafi tv,Kifesi,Perfume na kwa kuonyesha wewe bado MNAFIKI na memory yako ndogo kumbe mpaka Hamisa Mobeto unamjua, acha UNAFIKI kwani hayo ni mambo ya KIKE..
 
Kweli mkuu mziki ulikuwa zamani yaani kuna nyimbo za zamani hata nikizisikiliza naona kama vile mpya mfano
DILEMMA ya Nelly na Kelly Rowland
 
Yeye ndiye anaejua nn kilimpleka wcb na nn kimemtoa wcb so mwacheni apambane
 
Mbona tayari keshapotea huyo dogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…