Maskini Saida Karoli

Maskini Saida Karoli

Mkuu mawingu wamewapoteza wengi ujue..Mr.Paul,Kbasil,Bushoke,Stara Thomas eti..yaani ukidai haki yako tu..wanakujengea bifu mwanzo mwisho..

Hizi propaganda ndio tumeshazikataa..' tz kuna radio 88, clouds radio 1 inampotezaje msanii? Huu ni upashkuna. Kuna watu msipoitaja mawingu hamlali..
 
Hivi mbona kila aliye/anayejihusisha na wasanii anaishia kulaumiwa na kuitwa dhulumati, Ruge, Asha Baraka, Fela, Tale, Ustaadhi Juma, Kiumbe na wengine wengi.

Q Chilla muda mrefu alikuwa benchi tia maji tia maji, Mungu si Athumani kajitokeza Msamaria mwema na sasa anasikika tena..kama kawaida wadau tutaplay part yetu..."huyo atakudhulumu blah blah" akitoka tunakaa pembeni...akiharibikiwa tunarudi kwenye mitandao...oooh fulani anasikitisha n.k.....

Hebu mtutajie ambaye mnaridhika naye alafu mumuelekeze Saida, coz si bado yupo hai na kipaji kipo.
 
Jamani jamani !Maskini Saida Karoli.

Huyu naye ana umaskini wa hatari nasikia Hata voucher ya simu hana.Sasa kuna msanii aliyeuza wa kike kama huyu? Huyu sasa ndo walimdhurumu kila kitu.Jamaa yule muhaya wa silent in club alikuwa anampa show elfu hamsini wakati yeye katengeneza Milioni mia tano.

Show za Saida mpaka Uganda zilikuwaa zinajaza ma milioni.

Tatizo huyu dada yetu alikuwa hata kuandika jina lake hajui so huyu baba akatumia hiyo kama silaha ya kumuibia.

Saida karol yupo sehem panaitwa nyasaka mwanza,ana mtoto mdogo,kwasasa show zake anapiga visiwani,visiwa vya mwanza na musoma ziwa victoria sio kweli kuwa hata vocha anakosa,ana vyombo vyake na bendi yake na wacheza show ambao anawalipa,miongon mwa wacheza show ni mwanae ambae pia anaimba,mi nina eneo kisiwa flan sengerema nishawah kufika had kwake kumkodisha na watu walimkubali sana! Nilifika kwake nyumba yake ni tofaut na umaarufu wake ila sio nyumba mbaya ni kubwa na kila kitu ndani
 
Saida karol yupo sehem panaitwa nyasaka mwanza,ana mtoto mdogo,kwasasa show zake anapiga visiwani,visiwa vya mwanza na musoma ziwa victoria sio kweli kuwa hata vocha anakosa,ana vyombo vyake na bendi yake na wacheza show ambao anawalipa,miongon mwa wacheza show ni mwanae ambae pia anaimba,mi nina eneo kisiwa flan sengerema nishawah kufika had kwake kumkodisha na watu walimkubali sana! Nilifika kwake nyumba yake ni tofaut na umaarufu wake ila sio nyumba mbaya ni kubwa na kila kitu ndani

asante kwa kumaliza utata... hata Dina Marios aliwahi kumhoji na kusema kama ulivyo sema..
 
DSC03844.jpg


Felician Muta
 
Acheni acheni msiseme ule wimbo wake
anaocheza tumbo nje huwa naona aibu
utazani ni mimi;
 
Back
Top Bottom