Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,203
- 37,906
Mnataka tunywe kibuku.
afu sk hizi ipo kibuku TEKIAWEI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnataka tunywe kibuku.
Bora jamaa alikamua mafao tuu,,kuliko angekula mzigo maana jamaa inasemekana dah ni sumuu.
Mkuu mawingu wamewapoteza wengi ujue..Mr.Paul,Kbasil,Bushoke,Stara Thomas eti..yaani ukidai haki yako tu..wanakujengea bifu mwanzo mwisho..
Wahaya watoto wa mjini by nature, Mutta endelea kupiga hela
Daladala shillingi mia ndani ya silent inn kila jumamosi eheee.
Jamani jamani !Maskini Saida Karoli.
Huyu naye ana umaskini wa hatari nasikia Hata voucher ya simu hana.Sasa kuna msanii aliyeuza wa kike kama huyu? Huyu sasa ndo walimdhurumu kila kitu.Jamaa yule muhaya wa silent in club alikuwa anampa show elfu hamsini wakati yeye katengeneza Milioni mia tano.
Show za Saida mpaka Uganda zilikuwaa zinajaza ma milioni.
Tatizo huyu dada yetu alikuwa hata kuandika jina lake hajui so huyu baba akatumia hiyo kama silaha ya kumuibia.
Saida karol yupo sehem panaitwa nyasaka mwanza,ana mtoto mdogo,kwasasa show zake anapiga visiwani,visiwa vya mwanza na musoma ziwa victoria sio kweli kuwa hata vocha anakosa,ana vyombo vyake na bendi yake na wacheza show ambao anawalipa,miongon mwa wacheza show ni mwanae ambae pia anaimba,mi nina eneo kisiwa flan sengerema nishawah kufika had kwake kumkodisha na watu walimkubali sana! Nilifika kwake nyumba yake ni tofaut na umaarufu wake ila sio nyumba mbaya ni kubwa na kila kitu ndani
Asiyefunzwa na mamaye anafunzwa na ruge mutahaba.
Alikuwa Felician Mutta wa FM Studio mkuuAsiyefunzwa na mamaye anafunzwa na ruge mutahaba.
Ndugu, Ruge Mutahaba hahusiki kabisa na suala la Saida Kalori. Aliyekuwa meneja wwa Saida ni Felician MutaAsiyefunzwa na mamaye anafunzwa na ruge mutahaba.