Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,952
chukua magadi kilo tano changanya na pilipili kichaa nusu kilo,weka maharage yaliyo kwisha pikwa chini ya mvungu wa kitanda kwa muda wa wiki kisha changanya vyote uoge.......hiyo ni dawa ya kuvuta nyota ya kwako iko mbali sana.
Wajameni wapendwa wa mmu nisaidieni kimawazo mie mwenzenu nimechanganyikiwa sasa.
Tatizo langu ni kwamba nimemuomba mungu kwa muda mrefu nahitaji kuolewa bila mafanikio wadogo zangu
wote wameolewa marafiki zangu wakaribu wote najisikia vibaya sana najiona sina maisha sina furaha ya ma
isha mimi.
Navyojua mimi kila mwanadamu anahaki ya kuoa/kulewa ili awe na familia sasa mimi maisha gani haya nayoishi raha ya maisha nikuona uko na watoto wako na mume wako kwakweli kuna utamu wake kuliko kuishi kwa wazazi mtu mzima sivutiwi na maisha ya kuishi pekeyangu wala sitamani tamaa yangu nikuwa na familia, kiukweli umri wangu umeenda sana mwezi ujao naanza mwaka wa 32 sasa najiuliza sijui nizae bila kuolewa? Japokuwa naona hali hiyo itanitesa baadae.
Sina lakufanya nalia kila kukicha najiona sina thamani wenzangu wana watoto mimi sina hata wa dawa basi nimechanganyikiwa nasikia uchungu mimi.
Nisaidieni nipeni moyo nifanyeje nimeshaomba mungu saana bila mafanikio.
ndo huolewi.yaani wewe husninyo siku ukiolewa paka ataota pembe.tatizo lako huna heshima kwa wanaume.nani atakuoa wakati humheshimu?wewe husninyo wanaume unawaona kama wasichana wenzio.na mwaka huu utajuta kuzaliwa.mwaka jana umesema ooh! naolewa sijui nna mchumba kakutosa.safari hii unamganda uporoto01.unafikiri uporoto ataoa bibi kizee ka wewe?
Tabia yangu ya asili ni upoleAcha utani kwanza hebu tueleze kwanza tabia yako ya asili ni ipi maana nionavyo mimi hizi tabia unazotuorodheshea sasa hivi ni za kutengeneza na hizi zinakuja baada ya kuona mbona jua linakaribia machweo pasipo kufanikisha lolote mawindoni? Rejea tabia zako za awali kwanza utapata jibu tu hakika naamini wanaume sii wajinga au hawakuoni wakakuvutia upepo kiasi hicho.
Nooo sikua style hiyo mimi toka nikiwa na 23yrs nilikua nalilia kuolewa mimi, sema tatizo ndio kumpaata huyo mwenzi
Nashukuru sana kwa mstariHapo ndio tatizo kwani kwa sabab umeweka kuolewa kipaumbele utawakubali hata wasiokustaili.Relax na ujaribu kujichanganya kwenye social events mbalimbali.Ila fanya haya yote huku ukimshirikisha Mungu kwa kumdai ule mstari aliposema si vema mtu aishi peke yake.Mwanzo 2:18.kila la heri
chukua magadi kilo tano changanya na pilipili kichaa nusu kilo,weka maharage yaliyo kwisha pikwa chini ya mvungu wa kitanda kwa muda wa wiki kisha changanya vyote uoge.......hiyo ni dawa ya kuvuta nyota ya kwako iko mbali sana.
Nashukuru sana kwa mstari
umenijenga, ila kwenye social event ndio kama wapi?
Yawezekana ulichoandika hapa ni kweli... Ila najiuliza sana wazo la hiyo id yako lilitoka wapi. Waweza sema si kitu na haina umuhimu sana... Lakini....Tabia yangu ya asili ni upole
na nilichelewa sana kuanza mambo ya mausiano na wanaume labda ndio tatizo
chukua magadi kilo tano changanya na pilipili kichaa nusu kilo,weka maharage yaliyo kwisha pikwa chini ya mvungu wa kitanda kwa muda wa wiki kisha changanya vyote uoge.......hiyo ni dawa ya kuvuta nyota ya kwako iko mbali sana.
kumbe kuna watu bado,watu tunasaka wife kumbe mpo duuh.!Ndugu yangu God is gr8 endelea ku pray..onyo:usiende kwa waganga wa kienyeji.Wajameni wapendwa wa mmu nisaidieni kimawazo mie mwenzenu nimechanganyikiwa sasa.
Tatizo langu ni kwamba nimemuomba mungu kwa muda mrefu nahitaji kuolewa bila mafanikio wadogo zangu
wote wameolewa marafiki zangu wakaribu wote najisikia vibaya sana najiona sina maisha sina furaha ya ma
isha mimi.
Navyojua mimi kila mwanadamu anahaki ya kuoa/kulewa ili awe na familia sasa mimi maisha gani haya nayoishi raha ya maisha nikuona uko na watoto wako na mume wako kwakweli kuna utamu wake kuliko kuishi kwa wazazi mtu mzima sivutiwi na maisha ya kuishi pekeyangu wala sitamani tamaa yangu nikuwa na familia, kiukweli umri wangu umeenda sana mwezi ujao naanza mwaka wa 32 sasa najiuliza sijui nizae bila kuolewa? Japokuwa naona hali hiyo itanitesa baadae.
Sina lakufanya nalia kila kukicha najiona sina thamani wenzangu wana watoto mimi sina hata wa dawa basi nimechanganyikiwa nasikia uchungu mimi.
Nisaidieni nipeni moyo nifanyeje nimeshaomba mungu saana bila mafanikio.
siko hivyo kaka mie wa kawaida kabisa sina mashauzi , siringi wala sijisikii, siendagi kwenye starehe wala pombe sio mnywaji, nakubalika sana kwenye jamii tatizo ni hilo tuu siolewi sijui nimemkosea nini mwenyezi mungu najuuta
Hauko peke yako wako wengi humu hawataki tu kusema!Nisaidieni nipeni moyo nifanyeje nimeshaomba mungu saana bila mafanikio.
Muda gani huo unaouzungumzia? Mungu anaamua anavyopenda anaweza kuamuaUsichoke wala usikate tamaa kumuomba Mungu,
kwani kila jambo yeye ndio anapanga. Muda ukifika utafanikiwa tu.
Si ajabu akawa mume wa mtu!Sijakuelewa uliposema sijui uzae tu,huyo unaepanga kuzaa nae si ndo muoane.32 bado kabisa watu wanaolewa na 40