Maskini wa Mungu mimi sijui nifanyeje!

chukua magadi kilo tano changanya na pilipili kichaa nusu kilo,weka maharage yaliyo kwisha pikwa chini ya mvungu wa kitanda kwa muda wa wiki kisha changanya vyote uoge.......hiyo ni dawa ya kuvuta nyota ya kwako iko mbali sana.

Hashycool....!
 

Wanaume wako wengi Duniani, usijali, utampata anayekufaa.
 
Mbona ni mke wa mtu tayari? Unataka aolewe mara ngapi?

 
never give up! utaolewa tu. Mungu atatukuzwa kupitia wewe so js hv faith my dia. usiangalie nan kaolewa jst enjoy ur time alon kwanza, ndoa ipo 2, 32yrs sio ming sana.
 
Tabia yangu ya asili ni upole
na nilichelewa sana kuanza mambo ya mausiano na wanaume labda ndio tatizo
 
Nooo sikua style hiyo mimi toka nikiwa na 23yrs nilikua nalilia kuolewa mimi, sema tatizo ndio kumpaata huyo mwenzi

Hapo ndio tatizo kwani kwa sabab umeweka kuolewa kipaumbele utawakubali hata wasiokustaili.Relax na ujaribu kujichanganya kwenye social events mbalimbali.Ila fanya haya yote huku ukimshirikisha Mungu kwa kumdai ule mstari aliposema si vema mtu aishi peke yake.Mwanzo 2:18.kila la heri
 
Nashukuru sana kwa mstari
umenijenga, ila kwenye social event ndio kama wapi?
 
hebu weka picha yako hapa tutakudiscuss vizuri zaidi*
 
chukua magadi kilo tano changanya na pilipili kichaa nusu kilo,weka maharage yaliyo kwisha pikwa chini ya mvungu wa kitanda kwa muda wa wiki kisha changanya vyote uoge.......hiyo ni dawa ya kuvuta nyota ya kwako iko mbali sana.

Ahahahaaah!! Hii kali we ni mganga wa kienyeji?
 
Tabia yangu ya asili ni upole
na nilichelewa sana kuanza mambo ya mausiano na wanaume labda ndio tatizo
Yawezekana ulichoandika hapa ni kweli... Ila najiuliza sana wazo la hiyo id yako lilitoka wapi. Waweza sema si kitu na haina umuhimu sana... Lakini....
 
mimi nafikiri waweza pata watu wanataka kuwa na uhusiano na wewe, wewe ukawa unakataa kwa kutegemea yupo atakayekuja tangaza ndoa kabisa ndo umkubali. watu wanaanza kwa mahusiano ingawa si lazima m'do', then utakapojiridhisha na tabia zake mna'do' maana wengi ndo tunaanza hivyo kuogopa uziwa mbuzi kwenye gunia. so usibane sana eti mpaka ndoa, hao wapo wachache.
kama unapenda kuolewa, ukizaa unapunguza chance ya kuolewa so kwa nini huyo unayemfikiria kuzaa naye ndo umchague atakaye'qualify' kukuoa kabisa? jambo la kuolewa ni rahisi sana tena una kazi, punguza kushinda ndani kwani watu wa umri wako inawawia vigumu kukufuatilia nyumbani kwa wazazi, ivyo kama mkristo jiunge na kwaya, sometimes kutoka na marafiki out wengine wanaweza kuogopa kama unakuwa na misimamo mikali sana ya dini ile ndani full time. play effectively your part the rest God will do.
 
chukua magadi kilo tano changanya na pilipili kichaa nusu kilo,weka maharage yaliyo kwisha pikwa chini ya mvungu wa kitanda kwa muda wa wiki kisha changanya vyote uoge.......hiyo ni dawa ya kuvuta nyota ya kwako iko mbali sana.

mh wakati wengine tunawaza tutapata wapi, wengine wanalia kutoolewa.
 
Mimi nilikuwa nafikiria kutangaza kutafuta mke,maadam wewe umetoa kilio chako hapa ngoja nikufanyie feva kwa kujitolea mimi mwenyewe.,ni PM pls maana mengine ni yetu binafsi.
 
kumbe kuna watu bado,watu tunasaka wife kumbe mpo duuh.!Ndugu yangu God is gr8 endelea ku pray..onyo:usiende kwa waganga wa kienyeji.
 
siko hivyo kaka mie wa kawaida kabisa sina mashauzi , siringi wala sijisikii, siendagi kwenye starehe wala pombe sio mnywaji, nakubalika sana kwenye jamii tatizo ni hilo tuu siolewi sijui nimemkosea nini mwenyezi mungu najuuta

nyavu haikamati pweza dadaangu, wala mshipi hauwezi dawa ni kuzama ndani ya bahari na mkuki. Chamuhimu ni kutongoza mwenyewe mwanaume unaempenda acha kulaza damu shauri yako. Utaja olewa wakati menstruation cycle yako imeshazima..
 
Usichoke wala usikate tamaa kumuomba Mungu,
kwani kila jambo yeye ndio anapanga. Muda ukifika utafanikiwa tu.
Muda gani huo unaouzungumzia? Mungu anaamua anavyopenda anaweza kuamua
aishi bila kuolewa. Muhimu ni kufanya ibada na kujiandaa na yanayokuja mbele ya
safari!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…