mimi nafikiri waweza pata watu wanataka kuwa na uhusiano na wewe, wewe ukawa unakataa kwa kutegemea yupo atakayekuja tangaza ndoa kabisa ndo umkubali. watu wanaanza kwa mahusiano ingawa si lazima m'do', then utakapojiridhisha na tabia zake mna'do' maana wengi ndo tunaanza hivyo kuogopa uziwa mbuzi kwenye gunia. so usibane sana eti mpaka ndoa, hao wapo wachache.
kama unapenda kuolewa, ukizaa unapunguza chance ya kuolewa so kwa nini huyo unayemfikiria kuzaa naye ndo umchague atakaye'qualify' kukuoa kabisa? jambo la kuolewa ni rahisi sana tena una kazi, punguza kushinda ndani kwani watu wa umri wako inawawia vigumu kukufuatilia nyumbani kwa wazazi, ivyo kama mkristo jiunge na kwaya, sometimes kutoka na marafiki out wengine wanaweza kuogopa kama unakuwa na misimamo mikali sana ya dini ile ndani full time. play effectively your part the rest God will do.