Duh! hii kali mkuu hata kwa wasanii wa vichekesho sijawahi kuisikia.chukua magadi kilo tano changanya na pilipili kichaa nusu kilo,weka maharage yaliyo kwisha pikwa chini ya mvungu wa kitanda kwa muda wa wiki kisha changanya vyote uoge.......hiyo ni dawa ya kuvuta nyota ya kwako iko mbali sana.
Dah huu ni miongoni mwa ushauri wa mtu mwenye kushauri!Kwa sasa cha kufanya badilisha mfumo wa maisha, hilo linaweza kuwa ni tatizo kubwa sana!! Kwa mfano kama unapenda sana kujirusha, mlevi, na unapenda kuonekana expensive kila wakati!!
Wanaume wengi hawapendi wanawake wenye sifa hizo hapo juu
Kuwa karibu na Mungu wako, kuwa na maisha ya kawaida kabisa na jichanganye na watu wa aina zote!! Hakuna anayependa kuoa then atengwe na jamii dada!!!
Ukimtaja Mungu usiseme nimemkosea nini? Yeye humpa amtakaye bila hesabusiko hivyo kaka mie wa kawaida kabisa sina mashauzi , siringi wala sijisikii, siendagi kwenye starehe wala pombe sio mnywaji, nakubalika sana kwenye jamii tatizo ni hilo tuu siolewi sijui nimemkosea nini mwenyezi mungu najuuta
Fafanua mkuu!..jiangalie
Mh! hapana sikubaliani na wewe, ina maana unamshauri azae nje ya ndoa?Miaka 32 tu unakata tamaa hivo wenzako wanadunda tu, nahisi kama unapenda familia sidhani ni lazima kwanza uolewe ndio ujenge family,waweza kuwa na mpenzi wako mkapatana na kuanza family,pole sana kwa mawazo yako haya, umekosa tu mshauri ndugu yangu, kuolewa sio ishu kabisa kama unataka kujenga familia, ile ni hitimisho tu
Huyo amekufa, labda Mtamba na Mungu, Maji marefu, kalembwani, Tekelo n.kduh,kumbe kuna wakina shehe yahaya humu
Nashukuru sana kwa mstari
umenijenga, ila kwenye social event ndio kama wapi?
Sina ugonjwa Wa aina yoyote na yote unayoyafikiria sio yakweli sijawahi kuwa nawanaume wengiii, nakaaga muda mrefu hata 2yrs sina mwanaume hata 1 nanikiwa na mwanaume namuheshimu sana, wala story ya umalaya sinaga mie, nina adabu ninaupendo na utu nasijawahi kuwa na dharau hata siku1Msichana kama ww still hujaolewa wala huna mchumba @. 32yrs of age una matatizo kama si ya kiafya, basi una madharau saaaana kwa wanaume unajiona upo matawiiiiii, au ktk miaka yako ya usichana mchanga say 16-28 hivi ulikuwa na wanaume wengiiiiii wana do na ww, au ulikuwa hutaki kuulizwa kitu na ur Xss, so umri unaenda ujanja umeisha, wahenga walisema ujanja
mwingii mbele giza, ni mtazamo wangu lazima mOja wapo hapo juu unalo ktk maisha yako, so ukijua tatizo kati ya hayo ukajirekebisha utaolewa in short time, na dawa kubwa kwa wanaume ni UTII tu, mwanaume hana ujanja ukiwa mtiifu kwake
whaaaaat!!!? Miaka 50? Kijana aliepigika nimlee? shitmiaka 32 ni umri ambao ulitakiwa uwe na mme pamoja na mtoto.....cha kkshauri toka hilo eneo ambalo unaishi uende eneo jingine kabisa kwani wakazi wa eneo hilo washakufaham hata wengine washakuzarau pia wengi wanajua uliyokuwa ukiyafanya enzi za usichana wako..au wazazi wako wa hisoria mbaya hivyo inakuwa vigumu kuolewa....... nakushauri uende maeneo ya wavuvi, wachimba madini huko hawakucheleweshi.....au mtafute mtu aliyefiwa na mke wake.....au tafuta mtu mzima yaani mwenye miaka 50.............ukishindwa yote hayo tafuta kijana aliyepigika umree na umuheshimu kama mme wako...........naiamani utafanyia kaz nc day.
ohh huko naendaga sana ilaShiriki kwenye vikundi vya kidini,vikundi vya mitaani,misiba na sherehe.
ok, am choclate colour soo cute figure no.8hebu weka picha yako hapa tutakudiscuss vizuri zaidi*
nashukuru mpendwaMi nakushauri usiwe na papara,kwa umri wako muda bado na nafasi unayo pia ya kumpata atakae kuoa,Cha msingi usikurupuke kwani waweza angukia mikononi mwa mafataki,lakini pia chagua chagua utapata nazi koroma.
Mimi nilikuwa nafikiria kutangaza kutafuta mke,maadam wewe umetoa kilio chako hapa ngoja nikufanyie feva kwa kujitolea mimi mwenyewe.,ni PM pls maana mengine ni yetu binafsi.
Wajameni wapendwa wa mmu nisaidieni kimawazo mie mwenzenu nimechanganyikiwa sasa.
Tatizo langu ni kwamba nimemuomba mungu kwa muda mrefu nahitaji kuolewa bila mafanikio wadogo zangu
wote wameolewa marafiki zangu wakaribu wote najisikia vibaya sana najiona sina maisha sina furaha ya ma
isha mimi.
Navyojua mimi kila mwanadamu anahaki ya kuoa/kulewa ili awe na familia sasa mimi maisha gani haya nayoishi raha ya maisha nikuona uko na watoto wako na mume wako kwakweli kuna utamu wake kuliko kuishi kwa wazazi mtu mzima sivutiwi na maisha ya kuishi pekeyangu wala sitamani tamaa yangu nikuwa na familia, kiukweli umri wangu umeenda sana mwezi ujao naanza mwaka wa 32 sasa najiuliza sijui nizae bila kuolewa? Japokuwa naona hali hiyo itanitesa baadae.
Sina lakufanya nalia kila kukicha najiona sina thamani wenzangu wana watoto mimi sina hata wa dawa basi nimechanganyikiwa nasikia uchungu mimi.
Nisaidieni nipeni moyo nifanyeje nimeshaomba mungu saana bila mafanikio.