Maskini wa Mungu mimi sijui nifanyeje!

Maskini wa Mungu mimi sijui nifanyeje!

chukua magadi kilo tano changanya na pilipili kichaa nusu kilo,weka maharage yaliyo kwisha pikwa chini ya mvungu wa kitanda kwa muda wa wiki kisha changanya vyote uoge.......hiyo ni dawa ya kuvuta nyota ya kwako iko mbali sana.
Duh! hii kali mkuu hata kwa wasanii wa vichekesho sijawahi kuisikia.
 
Kwa sasa cha kufanya badilisha mfumo wa maisha, hilo linaweza kuwa ni tatizo kubwa sana!! Kwa mfano kama unapenda sana kujirusha, mlevi, na unapenda kuonekana expensive kila wakati!!

Wanaume wengi hawapendi wanawake wenye sifa hizo hapo juu

Kuwa karibu na Mungu wako, kuwa na maisha ya kawaida kabisa na jichanganye na watu wa aina zote!! Hakuna anayependa kuoa then atengwe na jamii dada!!!
Dah huu ni miongoni mwa ushauri wa mtu mwenye kushauri!
 
siko hivyo kaka mie wa kawaida kabisa sina mashauzi , siringi wala sijisikii, siendagi kwenye starehe wala pombe sio mnywaji, nakubalika sana kwenye jamii tatizo ni hilo tuu siolewi sijui nimemkosea nini mwenyezi mungu najuuta
Ukimtaja Mungu usiseme nimemkosea nini? Yeye humpa amtakaye bila hesabu
We hujaona kuna watu wana mizigo ya madhambi lakini anawapa? Suala si umemkosea
nini. Kuwa mwenye subira!
 
Miaka 32 tu unakata tamaa hivo wenzako wanadunda tu, nahisi kama unapenda familia sidhani ni lazima kwanza uolewe ndio ujenge family,waweza kuwa na mpenzi wako mkapatana na kuanza family,pole sana kwa mawazo yako haya, umekosa tu mshauri ndugu yangu, kuolewa sio ishu kabisa kama unataka kujenga familia, ile ni hitimisho tu
Mh! hapana sikubaliani na wewe, ina maana unamshauri azae nje ya ndoa?
Labda awe nje ya dini mbili tulizozizoea hapa Tanzania, vinginevyo ni kinyume
cha maadili!
 
Msichana kama ww still hujaolewa wala huna mchumba @. 32yrs of age una matatizo kama si ya kiafya, basi una madharau saaaana kwa wanaume unajiona upo matawiiiiii, au ktk miaka yako ya usichana mchanga say 16-28 hivi ulikuwa na wanaume wengiiiiii wana do na ww, au ulikuwa hutaki kuulizwa kitu na ur Xss, so umri unaenda ujanja umeisha, wahenga walisema ujanja
mwingii mbele giza, ni mtazamo wangu lazima mOja wapo hapo juu unalo ktk maisha yako, so ukijua tatizo kati ya hayo ukajirekebisha utaolewa in short time, na dawa kubwa kwa wanaume ni UTII tu, mwanaume hana ujanja ukiwa mtiifu kwake
 
miaka 32 ni umri ambao ulitakiwa uwe na mme pamoja na mtoto.....cha kkshauri toka hilo eneo ambalo unaishi uende eneo jingine kabisa kwani wakazi wa eneo hilo washakufaham hata wengine washakuzarau pia wengi wanajua uliyokuwa ukiyafanya enzi za usichana wako..au wazazi wako wa hisoria mbaya hivyo inakuwa vigumu kuolewa....... nakushauri uende maeneo ya wavuvi, wachimba madini huko hawakucheleweshi.....au mtafute mtu aliyefiwa na mke wake.....au tafuta mtu mzima yaani mwenye miaka 50.............ukishindwa yote hayo tafuta kijana aliyepigika umree na umuheshimu kama mme wako...........naiamani utafanyia kaz nc day.
 
Mi nakushauri usiwe na papara,kwa umri wako muda bado na nafasi unayo pia ya kumpata atakae kuoa,Cha msingi usikurupuke kwani waweza angukia mikononi mwa mafataki,lakini pia chagua chagua utapata nazi koroma.
 
Msichana kama ww still hujaolewa wala huna mchumba @. 32yrs of age una matatizo kama si ya kiafya, basi una madharau saaaana kwa wanaume unajiona upo matawiiiiii, au ktk miaka yako ya usichana mchanga say 16-28 hivi ulikuwa na wanaume wengiiiiii wana do na ww, au ulikuwa hutaki kuulizwa kitu na ur Xss, so umri unaenda ujanja umeisha, wahenga walisema ujanja
mwingii mbele giza, ni mtazamo wangu lazima mOja wapo hapo juu unalo ktk maisha yako, so ukijua tatizo kati ya hayo ukajirekebisha utaolewa in short time, na dawa kubwa kwa wanaume ni UTII tu, mwanaume hana ujanja ukiwa mtiifu kwake
Sina ugonjwa Wa aina yoyote na yote unayoyafikiria sio yakweli sijawahi kuwa nawanaume wengiii, nakaaga muda mrefu hata 2yrs sina mwanaume hata 1 nanikiwa na mwanaume namuheshimu sana, wala story ya umalaya sinaga mie, nina adabu ninaupendo na utu nasijawahi kuwa na dharau hata siku1
 
miaka 32 ni umri ambao ulitakiwa uwe na mme pamoja na mtoto.....cha kkshauri toka hilo eneo ambalo unaishi uende eneo jingine kabisa kwani wakazi wa eneo hilo washakufaham hata wengine washakuzarau pia wengi wanajua uliyokuwa ukiyafanya enzi za usichana wako..au wazazi wako wa hisoria mbaya hivyo inakuwa vigumu kuolewa....... nakushauri uende maeneo ya wavuvi, wachimba madini huko hawakucheleweshi.....au mtafute mtu aliyefiwa na mke wake.....au tafuta mtu mzima yaani mwenye miaka 50.............ukishindwa yote hayo tafuta kijana aliyepigika umree na umuheshimu kama mme wako...........naiamani utafanyia kaz nc day.
whaaaaat!!!? Miaka 50? Kijana aliepigika nimlee? shit
 
Mi nakushauri usiwe na papara,kwa umri wako muda bado na nafasi unayo pia ya kumpata atakae kuoa,Cha msingi usikurupuke kwani waweza angukia mikononi mwa mafataki,lakini pia chagua chagua utapata nazi koroma.
nashukuru mpendwa
 
Wajameni wapendwa wa mmu nisaidieni kimawazo mie mwenzenu nimechanganyikiwa sasa.

Tatizo langu ni kwamba nimemuomba mungu kwa muda mrefu nahitaji kuolewa bila mafanikio wadogo zangu
wote wameolewa marafiki zangu wakaribu wote najisikia vibaya sana najiona sina maisha sina furaha ya ma
isha mimi.

Navyojua mimi kila mwanadamu anahaki ya kuoa/kulewa ili awe na familia sasa mimi maisha gani haya nayoishi raha ya maisha nikuona uko na watoto wako na mume wako kwakweli kuna utamu wake kuliko kuishi kwa wazazi mtu mzima sivutiwi na maisha ya kuishi pekeyangu wala sitamani tamaa yangu nikuwa na familia, kiukweli umri wangu umeenda sana mwezi ujao naanza mwaka wa 32 sasa najiuliza sijui nizae bila kuolewa? Japokuwa naona hali hiyo itanitesa baadae.

Sina lakufanya nalia kila kukicha najiona sina thamani wenzangu wana watoto mimi sina hata wa dawa basi nimechanganyikiwa nasikia uchungu mimi.

Nisaidieni nipeni moyo nifanyeje nimeshaomba mungu saana bila mafanikio.

ni pm faster!
 
Usihofu, maadam umeleta hapa, wapendwa twaungana nawe katika sala, na sala za wengi Mungu hizisikia. By June next year utavaa shela, beleave my words na usininyime kadi.
 
Back
Top Bottom