ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Hospitalini sasa hivi hata kama huna hela hawawezi kukuacha uteketee lazima watakutibu libaki deni, cha ajabu unakuta eti mtu kafa mtaani sababu wanadai ni uchumi mdogo ndio maana wameshindwa kumpeleka medical.
Mtu Sawa anaumwa kwanini aachwe ndani. Ni uzembe na sio umaskini, mtu unakuta yuko week mbili ndani hapelekwe hospitali ukiuliza unaambiwa mambo ya Hela..
Mtu Sawa anaumwa kwanini aachwe ndani. Ni uzembe na sio umaskini, mtu unakuta yuko week mbili ndani hapelekwe hospitali ukiuliza unaambiwa mambo ya Hela..