mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
umechemsha ,kuna kufanya muziki kama kazi na burudani,huyu alitoa burudani akatutolea stress sasa tatizo liko wapi yeye kuajiriwa huwezi kujua kupitia kukata tiketi after ten years atakuwa nani ,think locally act globally,jifunze kwa rais wako jk,aligraduate mwaka 1975 kipindi hicho digrii holder wachache lakini akawa katibu wa ccm wilaya kadhaa leo unapaki kibajaj chako anapita na ving'ora