Mnaonekana hamjiamin NA hii ni hatar sana kwa afya ya maendeleoMmmh ruby naye anajiweka kwa jide? Haya yetu macho isije tukaskia ameenda kumpigia magoti ruge ili nyimbo zake zipigwe , Jide ni komando wa kike bongo hakuna mwanamziki wa kike mwenye msimamo Kama wake, huyo ruby anayetengeneza kiki kila akitaka kutoa wimbo mpya ndo naye anaweka bifu na mawingu? Mmh ngoja tuone, mie ngoja nipite na zangu[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Wansemaga hivyo hivyo mwisho wa siku wanaenda kuwapigia magoti
mh Ruby ubavu wa kutunishiana na Clouds anautoa wapi? ngoja tuone mwisho wake, wanasema ivyo mwisho tunawaona wanaenda kupiga magoti.
iSio hawana hela mkuu wanamlipa MTU kulingana na ukubwa wa jina lake au nyimbo zake, weusi hawawez lipwa Kama ruby, naye huyo ruby anataka alipwe mamilioni kwa nyimbo gani?
We ulipita Ki halali pale Law SchoolBeing underpaid is one thing,and being ''commando'' is another different story,...Asije tu akafungwa na mkataba waliowekeana awali(kama upo in the first place)..She is obliged to abide by contractual terms and conditions,or else........
Umenena kweli,nakubaliana na wewe katika yote uliyoyaandika hapa.Kwa hiyo Ruby ndo anajua maslahi kuliko Joh Makini au Fid Q?
Au yeye pekee ndiye angelipwa kidogo kuliko wengine?
Hilo buzi linalompa jeuri likimtema ataenda kuomba msamaha tu.
Kibongo kufanya kazi na Clouds ni maslahi tosha hata kama ni bure,Kuna vijana wanavipaji unique lakini wanaishia kuwaimbia wenza wao maghettoni kisa hakuna promo.
Jide mwenyewe akipata nafasi ya pili kukutana na Clouds kwa mara ya kwanza hawezi kushupaza shingo.
Huu mgogoro umemuathiri sema ndiyo hivyo tena.
Mkuu unayosema ni kweli ruby ananikumbusha kipindi cha mpito nilichopitia kabla ya kusimama mimi kama mimi nilikuwa na mdhamini wangu aliyenilipia ada na mahitaji mengine kwa kipind cha miaka 9 mda wote huo nilikuwa nikiishi kwake mpaka nimemaliza chuo.nilipokuwa mwaka wa kwanza mKitendo alichofanya ni cha kishujaa japo najua kuna wabongo wao hupinga kila kitu
Hata kama ana nyimbo mbili , sasa ndo aka fanye show sawa na bure kisa hzo nyimbo mbili!!!
Japo ka pick fight kubwa sana na kina Ruge ila at least kaonesha ujasiri wa kuongea
kiukweli alichokifanya ruby kimenifurahisha sana haina haja ya kumnyenyekea mtu halafu mwisho wa siku hufaidiki kitu ananikumbusha kipindi cha mpito nilichopitia nilipokuwa naishi na mlezi wangu ambae alinihudumia kila kitu mpaka namaliza chuo nilikuwa naishi kwake.nilipokuwa mwaka wa kwanza mwishoni alifungua ofisi ambayo mimi ndiye niliyekuwa naisimamia na kazi zote nilizifanya mwenyewe na hapohapo nilitakiwa niende darasani na kazi za nyumbani pia nilitakiwa nifanye,niliweza kufanya vyote hivyo mpaka nilipomaliza chuo ambapo nilikuwa nikichukua masomo ya a/cs.mwaka wa tatu alipanua ofis yake na hata kazi ziliongezeka ambapo kwa wiki nilikuwa nikiingiza mpqka milion 13 lakin mwisho wa siku nakuta nimeambulia hela ya nguo tu sh 50000 basi kama posho silipwi kitu chochote zaidi yahiyo 50000.alichokuwa qnasema ofisi ikisimama vyema nitaanza kukulipa na ukimsikiliza kwa makin anapoongea anasema kuwa ili ofis ionekane ni baada ya miaka 3 nikakaa nikafikir ina maana hapa nitaendelea kupoteza mda silipwi kitu kwa kipind chote hicho na hata baada ya miaka mitatu sinq hakika kqma nitalipwa 250000 ukizingatia mim ndo mtoto wa kwanza nategemewa na familia umri wangu ndo huo unazid kusonga.kweli ndio umenisomesha sasa hakukuwa nq haja ya mimi kupoteza mda wote huo darasani kama mwisho wa siku nakuja kukaa bure ilinibidi nifanye kitu japo kilionekqna kama ni ukosefu wa shukran lakin sikujali kama huyo mlezi anategemewa na ukoo au lah nilimuomba tu niweze kuondoka nirud nyumban kiukwel mwanzoni nilipata tabu kutokana na kukosa baadhi ya vitu lakin nilipata nguvu ya kuweza kujisimamia mwenyew mwanzo nilikuwa undercontrol kuanzia marafiki mavazi nyimbo watu ninaoshirikiana nao mbali na marafiki kiukweli ilikuwa ngumu sana.nilipokuwa nyumbani nilianza kutuma tuma barua za maombi ya kazi mungu sikuzote hamtupi mja wake niliweza itwa kwa interview majibu yalipotoka nikawa nimepita nilifurah sana matunda yakaanza kuonekwna nikaanza ujenz wa nyumba ya wazaz wqngu ambayo walijua basi mimi nimetoka kule basi nitapotea kimaisha lakin si kweli.Kafanya la maana unakuta mtu una zunguka fiesta mikoa yoote halaf unachopata ni bora ungeuza mitumba tuu uingize faida zaid
Cloudz washenz kwel kwel
uko sahihi!kabisaKatika watu walioamua kumharibia Ruby ni hawa walio mshauri kukataa hiyo show halafu haitoshi kwenda kwenye social media kujidai ana tunisha misuli.
Ruby alitakiwa kupiga hiyo show halafu ange malizana nao na bila shaka kuna sababu walizo ziona Ruby alitakiwa alipwe hiyo Laki tano.
Mbona kuna wasanii hawajapata show kabisa? Halafu Ruby alitakiwa kupiga hiyo show kama shukrani kwao tuu kwa kumsaidia kumtoa maana nasikia mwaka jana ilibdi azunguke fiesta zote bure maana ndio zawadi aliyo ahidiwa ikiwa kama kumtangaza..
Ruby hajafikia level ya kuonekana ana nyanyaswa au kunyonywa kabisa Ruby ni msanii mchanga na biashara za wasanii wachanga ndivyo zilivyo..
Kama kuna mtu anataka kufananisha misuli ya Jaydee na Ruby basi kichwani hayuko sawa.. Kama kuna mtu anataka kufananisha stuation hii ya Ruby na ya Jaydee basi anapaswa kupimwa akili.
Kwanza Ruby hajatumiwa kwa vyovyote vile na Clouds kutengeneza faida yeyote ile kwa hiyo kwa vyovyote vile Ruby hatakuwa na hoja.. Maana bila shaka Clouds wana hoja za kutaka kumlipa laki tano.
Halafu kama alikuwa hakubali hiyo offer ange kataa halafu akapiga kimya au ange angalia faida ya kukubali hiyo offer ukiacha pesa... Si kila kitu lazima kikulipe papo hapo hata Jide hizo za bure alizipiga sana? Ruby ana muda gani kwenye muziki?
Tanzania tuna media house zenye nguvu tatu tuu kwa sasa.. CLOUDS , IPP NA EFM .
Msanii akigombana na moja kati ya hizo nguvu yake hupungua.. Kinyume awe na jeuri, nguvu, kiburi, katili kama Lady Jaydee..
Unajua wengi wakiona Lady Jaydee kaweza wanadhani ni rahisi.. Hahahaha.. Huyu Jaydee huwa namuangalia mara mbili si mmalizi hakika sijawai ona mwanamke wa namna hiyo sidhani kama Ruby ataweza.
Halafu ukiaacha swala la Clouds ni wazi Ruby ana shida kidogo nadhani kuna maswala yake hayako sawa.. Sidhani kama saikolojia yake kama iko sawa.... Maana hivi karibuni amekuwa akilalamikiwa sana na watu kuwa amekuwa hatokei kwenye shooting na mambo mengine..
Mkuu what an inspiring story!!Mkuu unayosema ni kweli ruby ananikumbusha kipindi cha mpito nilichopitia kabla ya kusimama mimi kama mimi nilikuwa na mdhamini wangu aliyenilipia ada na mahitaji mengine kwa kipind cha miaka 9 mda wote huo nilikuwa nikiishi kwake mpaka nimemaliza chuo.nilipokuwa mwaka wa kwanza m
kiukweli alichokifanya ruby kimenifurahisha sana haina haja ya kumnyenyekea mtu halafu mwisho wa siku hufaidiki kitu ananikumbusha kipindi cha mpito nilichopitia nilipokuwa naishi na mlezi wangu ambae alinihudumia kila kitu mpaka namaliza chuo nilikuwa naishi kwake.nilipokuwa mwaka wa kwanza mwishoni alifungua ofisi ambayo mimi ndiye niliyekuwa naisimamia na kazi zote nilizifanya mwenyewe na hapohapo nilitakiwa niende darasani na kazi za nyumbani pia nilitakiwa nifanye,niliweza kufanya vyote hivyo mpaka nilipomaliza chuo ambapo nilikuwa nikichukua masomo ya a/cs.mwaka wa tatu alipanua ofis yake na hata kazi ziliongezeka ambapo kwa wiki nilikuwa nikiingiza mpqka milion 13 lakin mwisho wa siku nakuta nimeambulia hela ya nguo tu sh 50000 basi kama posho silipwi kitu chochote zaidi yahiyo 50000.alichokuwa qnasema ofisi ikisimama vyema nitaanza kukulipa na ukimsikiliza kwa makin anapoongea anasema kuwa ili ofis ionekane ni baada ya miaka 3 nikakaa nikafikir ina maana hapa nitaendelea kupoteza mda silipwi kitu kwa kipind chote hicho na hata baada ya miaka mitatu sinq hakika kqma nitalipwa 250000 ukizingatia mim ndo mtoto wa kwanza nategemewa na familia umri wangu ndo huo unazid kusonga.kweli ndio umenisomesha sasa hakukuwa nq haja ya mimi kupoteza mda wote huo darasani kama mwisho wa siku nakuja kukaa bure ilinibidi nifanye kitu japo kilionekqna kama ni ukosefu wa shukran lakin sikujali kama huyo mlezi anategemewa na ukoo au lah nilimuomba tu niweze kuondoka nirud nyumban kiukwel mwanzoni nilipata tabu kutokana na kukosa baadhi ya vitu lakin nilipata nguvu ya kuweza kujisimamia mwenyew mwanzo nilikuwa undercontrol kuanzia marafiki mavazi nyimbo watu ninaoshirikiana nao mbali na marafiki kiukweli ilikuwa ngumu sana.nilipokuwa nyumbani nilianza kutuma tuma barua za maombi ya kazi mungu sikuzote hamtupi mja wake niliweza itwa kwa interview majibu yalipotoka nikawa nimepita nilifurah sana matunda yakaanza kuonekwna nikaanza ujenz wa nyumba ya wazaz wqngu ambayo walijua basi mimi nimetoka kule basi nitapotea kimaisha lakin si kweli.
Hivyo ruby wewe pambana mama mwanzo watu hawatakuelewa lakin wewe simama wewe kama wewe usiendelee kung'ang'ania sehemu ambayo haina maslahi
Kwa hiyo unaunga mkono yeye kifanya show bure kisa fiesta?Mmmh ruby naye anajiweka kwa jide? Haya yetu macho isije tukaskia ameenda kumpigia magoti ruge ili nyimbo zake zipigwe , Jide ni komando wa kike bongo hakuna mwanamziki wa kike mwenye msimamo Kama wake, huyo ruby anayetengeneza kiki kila akitaka kutoa wimbo mpya ndo naye anaweka bifu na mawingu? Mmh ngoja tuone, mie ngoja nipite na zangu[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Ukweli unaoumaPamoja cloudsfm nawakubali sana na FIESTA ni platform moja nzuri ya kumtambulisha msanii kwa mashabiki wake na wapya. Ila clouds itabidi wabadilike hasa kwa wasanii wanao wasimamia, we mtu kama barnaba anauwezo kuliko kiba, mondi na ommy dimpoz na kimziki wote kawatangulia na anahit kibao lkn mziki bado haujabadilisha maisha yake upande wa uchumi. Barnaba haitaji bendi wala dj ni yy na gita lake tu na bado anakufanyia shoo kali, lkn mpogoro huyu wa kigogo luhanga bado anamafanikio ya kawaida.
Sugu hakusarenda huu mgogoro ruge aliupeleka mpaka kwa viongozi wa chadema na serikalini wamsaidieni ili jambo liishe.....picha inajieleza kabisa hapokwa ruge alisarenda kamanda sugu, sembuse ruby,
View attachment 385866
Huyo dada nae kapotea kwenye game kbsa hasikikiHivi yule mwanadada anayeitwa Rachel yuko wapi ?
Ze dudu Sugu alisanda kaka. Tukifunguka sana tutakua kama tunamzalilisha kamanda Sugu. Ngoja tumpotezee tu yasifike mbali.Sugu hakusarenda huu mgogoro ruge aliupeleka mpaka kwa viongozi wa chadema na serikalini wamsaidieni ili jambo liishe.....picha inajieleza kabisa hapo
mkuu kusanda tunakokuzungumzia ni pale unaporudi clouds kuwapigia magoti ili waku promote tena kwenye kazi zako...sugu amepatana na clouds kipindi ambapo yupo njema kimkwanja kuliko hata kipindi ambacho alikuwa anagombana nao...ukiangalia maisha ya sugu kwa kipindi ambacho anapatana na clouds c maisha ya kutegemea mziki or unataka kuniambia sugu kapatana na clouds ili kupata promotion ya siasa???kitu ambacho sidhani na hakiwezi kuwa kweliZe dudu Sugu alisanda kaka. Tukifunguka sana tutakua kama tunamzalilisha kamanda Sugu. Ngoja tumpotezee tu yasifike mbali.