Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Mhhhhhh Soudy sie bwan kaka...Nimekumbuka POWER BANK
Sidhani!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhhhhhh Soudy sie bwan kaka...Nimekumbuka POWER BANK
Ahsante.Kurya....
Haya dada. Muda ni hakimu.Mhhhhhh Soudy sie bwan kaka...
Sidhani!
ata mikataba wanasainishwa kijanja kijanja mbele ya media ili wasikatae hawa wasanii waungane watete masilay yao mwisho ndo yale jina kubwa pesa haunaMtandaoni wa Tizneez ametoa exclusive ya kwanini Msanii Ruby hakuonekana Mwanza wala kupanda katika jukwaa la Fiesta wakati alikuwa mmoja wa wasanii waliosajiliwa... Hivi Ndivyo mtandao huo ulivyoandika
Exclusive Ruby Amezungumza mengi ila kati ya machache ni "Maslahi yamenifanya nisiende kwenye Fiesta, Kisa ni Clouds ndio nisiwe free na kuongea, end of the day it's not about clouds it's about my future.Katika shindano la super diva ilikuwa super diva mshindi atafanya Fiesta, wakati umefika lakini ntafanya Fiesta for nothing?
Mimi sitaki kuongelea price ambayo naipata sababu nahisi nikiongea sijui watu watajiskiaje ukubwa wa show ulivyo. ...Tunakuwa na menejiment ambazo zinaendesha wasanii kimabavu, unadhani kwanini @jidejaydee wanamuita komando?? alisema hayo rubby
nini maoni yako?
Au akauze kipochi manyoya kona barhata kama hana ndo ulipwe laki moja? si bora akawe muhudumu mango garden?
Right decision at a wrong timingMtandaoni wa Tizneez ametoa exclusive ya kwanini Msanii Ruby hakuonekana Mwanza wala kupanda katika jukwaa la Fiesta wakati alikuwa mmoja wa wasanii waliosajiliwa...
Hivi Ndivyo mtandao huo ulivyoandika;
========
Exclusive Ruby Amezungumza mengi ila kati ya machache ni "Maslahi yamenifanya nisiende kwenye Fiesta, Kisa ni Clouds ndio nisiwe free na kuongea, end of the day it's not about clouds it's about my future.Katika shindano la super diva ilikuwa super diva mshindi atafanya Fiesta, wakati umefika lakini ntafanya Fiesta for nothing?
Mimi sitaki kuongelea price ambayo naipata sababu nahisi nikiongea sijui watu watajiskiaje ukubwa wa show ulivyo. ...Tunakuwa na menejiment ambazo zinaendesha wasanii kimabavu, unadhani kwanini @jidejaydee wanamuita komando?? alisema hayo rubby
Nini maoni yako?
Kwahiyo hadi anaanza ku-post mapicha Instagram akichelekea Fiesta bado tu alikuwa hajagundua kwamba mkataba ni wa Kimangungo?Nashangaa watu wanaomponda ruby.
Yani kwakua ni clouds bas akubali ujinga wote anaoambiwa eti kwakua ni clouds!!?je kama clouds na wao wamekiuka masharti!?nani anaejua !?je kama mkataba alosign mbele ya kamela na ule wa utendaji kazi ni tofauti!?
Wewe kama unaona ruby anajipoteza, kaa kimya wewe ulienyooka una nini bhana, and by the way kuimba ni kipaji iwepo clouds wawepo sijui kunguru gani ruby atabaki kuwa ruby na sauti yake tu..
Yani mtu ulipwe laki tatu eti kisa ni clouds kuna njia kibao sikuhizi za kutengeneza pesa...
Kama ulipandikizwa mbengu ya kiajiliwa lazima utamdiss ruby ila kama una mawazo huru utamuona shujaaa.
Na kwa taarifa yenu Siku ya fiesta hapa dar kutakua na Bonge la surprise kutoka kwa E FM mjini utatikisika.
Go gal babe ruby..
Easy, aende pale 92kj kama anataka ukomandokuwa komando si mchezo,sifa anazo?
Easy, aende pale 92kj kama anataka ukomandokuwa komando si mchezo,sifa anazo?
Ndo uandishi gani huu[emoji15] [emoji15]yy?? 2xubr??? xul???
Su nitamwambia babae nitamwambia babaee[emoji23] [emoji23] [emoji23] naskia hakutokea coz dogo aslay alimchomoleaKabla ya kusigna mkataba hakuambiwa bei atayolipwa? Kwanini alisaini? Sisapoti unyonyaji ila thamani ya Ruby haiwezi kuwa sawa na Jide au weusi au msanii mwingine mkubwa na mkongwe. Ruby anahitaji kuuza jina lake fiesta ili aongeze fanbase yake. Ruby anaihitaji fiesta zaidi kuliko fiesta inavyomuhitaji Ruby
Si ndiyo huyu huyu aliyepanic baada ya Ali Kiba kumuita mbwa wake Ruby, na ni huyu aliyegoma kutokea kwenye video ya yamoto band dakika za mwisho. Pamoja na yote huyu Ruby nae inaonekana ana matatizo sana
I hate huo uandish yani ukiandika hvyo sikujibu hata km unakata roho!Ndo uandishi gani huu[emoji15] [emoji15]