Maslahi madogo Clouds yamtoa Ruby Fiesta

Maslahi madogo Clouds yamtoa Ruby Fiesta

Kwahiyo hadi anaanza ku-post mapicha Instagram akichelekea Fiesta bado tu alikuwa hajagundua kwamba mkataba ni wa Kimangungo?

View attachment 386682
View attachment 386681
Au unataka kusema na wakati anaandika yote hayo tena with excitement bado alikuwa amesimamiwa na media? Au unataka kusema wakati ana-saini mkataba alikuwa hajausoma hata kwa kuuperuzi na hata wakati anaandika yote hayo alikuwa hajasoma? Kama ndiyo; sasa hilo ni tatizo la Clouds la kwake yeye mwenyewe?!

Wakati wewe unawakejeli wanaomponda Ruby ni wale waliopandikizwa mbegu za masiaha ni hadi kuajiriwa; nawe pia na wenzako ni wale wasiofahamu nini maana ya mikataba! Kutosoma mkataba ni ujinga kama sio upu'mbavu wa aliyepewa mkataba na sio aliyetoa mkataba! Na kutosoma mkataba haiwezi kuwa excuse hata siku moja zaidi ya ku-reveal ujinga wa muhusika!

By the way, sasa suala la EFM linaingia vipi kwenye mjadala wa Clouds na EFM?! Waambieni EFM wafanye kazi badala ya kutaka kushindana na Clouds; ni ujinga uliopitiliza! EFM ni EFM na Clouds itaendelea kubaki kuwa Clouds! Acheni kuleta mambo ya Bongo Flavor... mada ya Diamond unakuta mtu bila sababu za msingi analeta habari za Ali Kiba and vice versa!
Umeongea fact mkuu[emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Mtandaoni wa Tizneez ametoa exclusive ya kwanini Msanii Ruby hakuonekana Mwanza wala kupanda katika jukwaa la Fiesta wakati alikuwa mmoja wa wasanii waliosajiliwa...

Hivi Ndivyo mtandao huo ulivyoandika;
========

Exclusive Ruby Amezungumza mengi ila kati ya machache ni "Maslahi yamenifanya nisiende kwenye Fiesta, Kisa ni Clouds ndio nisiwe free na kuongea, end of the day it's not about clouds it's about my future.Katika shindano la super diva ilikuwa super diva mshindi atafanya Fiesta, wakati umefika lakini ntafanya Fiesta for nothing?

Mimi sitaki kuongelea price ambayo naipata sababu nahisi nikiongea sijui watu watajiskiaje ukubwa wa show ulivyo. ...Tunakuwa na menejiment ambazo zinaendesha wasanii kimabavu, unadhani kwanini @jidejaydee wanamuita komando?? alisema hayo rubby

Nini maoni yako?

- Tatizo ni kwamba ilikuwa ni bora kwake kwenda Fiesta na Clouds hata bure kuliko kukataa hela ndogo kama anavyodai cause sio Big Star hajafikia uwezo wa kuwa na Show yake mwenyewe usiku mzima ana wimbo mmoja tu na amefikishwa hapo alipo na hao hao anaowakataa, sometimes hawa watoto wanakosa sana ushauri wa maana kwa status yake ilikuwa bora hata angeenda na Fiesta bure ili ajitangaze kuliko kuwatukana au ingemsaidia kujifanya mgonjwa asiende kuliko kuwatukana kama alivyofanya cause very soon atagundua kwamba hakuna wa kumsaidia zaidi ya hao hao aliowatukana,

- Sikushangaa sana kusikia haya ni msichana anayejiona yupo juu sana hata ukikutana naye one on one ana tabia za kujiona baab kubwa sana wakati sio kabisa, namuonea huruma sana cause huenda ndio amefikia mwisho wa career yake kwenye music hapa!!

le Mutuz
 
Hizo zote ni speculations tu wewe ulimuona akisign huo mkataba!!?au huo mkataba uliuona!?au ndo kusikia tu redion clouds wakifanya promo!?
Utake usitake ukiitaja clouds lazima tuitaje Efm likija swala la entertainment, kibongobongo kunawasanii kibao hiyo clouds hawajui hata ikowapi lakini wametoboa, hao kina shoro mwamba na kina manfongo unaowaona clouds wanawashobokea leo walitoboa bila hata support ya hiyo clouds yenu.
Ruby sio Nyumba kama hao Nyumba wengine...
Acha kujitoa ufahamu wewe! Mwenyewe ameandika nini hapo nilipo-underline kwa rangi ya blue? Yaani unataka kubishana hata na mwenyewe? We jamaa ni mtu wa ajabu sana!!!
Ruby1.png


Halafu we jamaa vp?! Naona unazidi kuleta irrelevant infos tu!! Mada ya Clouds na Ruby ukaleta habari za EFM! From nowhere unaleta habari za akina Manfongo!! Hiyo league yako ya EFM na Clouds tafuta mshindani cuz' you got a wrong guy!!
 
- Tatizo ni kwamba ilikuwa ni bora kwake kwenda Fiesta na Clouds hata bure kuliko kukataa hela ndogo kama anavyodai cause sio Big Star hajafikia uwezo wa kuwa na Show yake mwenyewe usiku mzima ana wimbo mmoja tu na amefikishwa hapo alipo na hao hao anaowakataa, sometimes hawa watoto wanakosa sana ushauri wa maana kwa status yake ilikuwa bora hata angeenda na Fiesta bure ili ajitangaze kuliko kuwatukana au ingemsaidia kujifanya mgonjwa asiende kuliko kuwatukana kama alivyofanya cause very soon atagundua kwamba hakuna wa kumsaidia zaidi ya hao hao aliowatukana,

- Sikushangaa sana kusikia haya ni msichana anayejiona yupo juu sana hata ukikutana naye one on one ana tabia za kujiona baab kubwa sana wakati sio kabisa, namuonea huruma sana cause huenda ndio amefikia mwisho wa career yake kwenye music hapa!!

le Mutuz
sijaona ukipiga nae picha huyu dada
 
huyu mpuuzi anajifananisha yeye na jide hivi anajua jide katokea wapi hadi amefikia hapo alipo??hivi anafikiri hizo pesa kidogo anazozikataa yeye anahisi jide hakuwahi kuzipokea au anahisi jide alitokea tu from no where akaanza kulipwa pesa ndefu??mtu mwenyewe nyimbo anatungiwa,unataka ujifanye bonge la star upuuzi
 
Hawajui tena hao watoto wa kiume bogas kabisa clouds sio ya lazima sana tusidanganyane kwanza siku iz tuna mitandao unaweza toka au kama vipi piga mishe zingine tuu unapoteza mda unaishia kupanga nyumba mpaka una miaka 50 upuuzi mtupu
Usijidanganye...
Fikiria hii
1. Diamond nyimbi zake hazikupogwa na IPP MEDIA kwa miaka mitatu, lakini alizidi kupaa...KISA CLOUDS WALIKUWA NAYE
2. JD nyimbo zake hazipigwi clouds, unona anavyopotea..??
3. Prof Jay, alikwaruzana na clouds, alianza kupotea
4. Jaribu kuwakumbuka wengine waliowahi kugombana na clouds nini kiliwakuta

Kwa kifupi, kugombana na clouds media inabidi ujipange... HUYO DOGO NDO ANAPOTEA HIVYO...
 
These dudes Clouds japo watu tunawachukia. Lakini, kwa hili la Ruby naamini ni msanii mwenyewe kajiona amekua level sawa na wasanii wakubwa aliowakuta ktk industry. Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Kwa mara ya kwanza naitetea redio ya Mh. Joseph Kusaga.
HUYO dogo vita aliyoianzisha haiwezi... awaulize wenzie waliowahi kugombana na clouds
 
safi ruby

u have to stand kwa kile unakiamini

so sawa kukubali kupelekeshwa tu...haijalishi na nani...

nakufahamu ulivyowatosa Glorious celebration ya kina mabisa...walikutenga but still u made it

Ruby , you are a brave woman...
 
Back
Top Bottom