wambura marwa
JF-Expert Member
- Mar 7, 2015
- 2,172
- 1,128
Sema wewe ndo unaitegemeaYaani Mimi nawashangaa hawa wasanii wanaitegemea clouds lkn bado wanajishebedua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema wewe ndo unaitegemeaYaani Mimi nawashangaa hawa wasanii wanaitegemea clouds lkn bado wanajishebedua
[emoji15] [emoji15] [emoji15] Mimi ni msikilizaji/mtazamaji tu ila naongea kitu ambacho kipoSema wewe ndo unaitegemea
Time will tellsafi ruby
u have to stand kwa kile unakiamini
so sawa kukubali kupelekeshwa tu...haijalishi na nani...
nakufahamu ulivyowatosa Glorious celebration ya kina mabisa...walikutenga but still u made it
Ruby , you are a brave woman...
Kumbe anatoka na soudy[emoji15] [emoji15] [emoji12] [emoji12] [emoji125] [emoji125] [emoji125] raisi wa shirika la wambea dunia(shilawadu)Aungane na bae wake Soudy Brown wakapige umbea sasa.
Ulikuwa hujui eeeh?Basi take it from me my dear.Kumbe anatoka na soudy[emoji15] [emoji15] [emoji12] [emoji12] [emoji125] [emoji125] [emoji125] raisi wa shirika la wambea dunia(shilawadu)
Hahaa sasa itakuaje na ndo ashabwaga manyanga mawinguUlikuwa hujui eeeh?Basi take it from me my dear.
Usumbufu mkubwaMimi wananiboaga Sana
Wewe kama clouds ndio kama nyeti zako unatembea nazo 24/7 hautamsikia Jide lakini kwa watu tusioshikiwa chini mbona Jide yupo kwenye rank ya juu hata sasa ndindindi inapigwa kila kona east Africa kwenye majumba maeneo ya starehe libraries na hata anafanya sold out shows kila mkoa mfuatilie wala Jide hajachuja bado anamaintain status yake.Usijidanganye...
Fikiria hii
1. Diamond nyimbi zake hazikupogwa na IPP MEDIA kwa miaka mitatu, lakini alizidi kupaa...KISA CLOUDS WALIKUWA NAYE
2. JD nyimbo zake hazipigwi clouds, unona anavyopotea..??
3. Prof Jay, alikwaruzana na clouds, alianza kupotea
4. Jaribu kuwakumbuka wengine waliowahi kugombana na clouds nini kiliwakuta
Kwa kifupi, kugombana na clouds media inabidi ujipange... HUYO DOGO NDO ANAPOTEA HIVYO...
Nifah Kwenye kitengo watakutaka tena umemwaga mboga kama penzi la dhati na kama nilakujisevia muda utaongeaUlikuwa hujui eeeh?Basi take it from me my dear.
Hisia zikikata hakuna ubani wala udi kila mtu na chaguo lake haya yana mwisho chuki za nini mi napita tu [emoji124][emoji124]sio msikilizaji [emoji101][emoji15] [emoji15] [emoji15] Mimi ni msikilizaji/mtazamaji tu ila naongea kitu ambacho kipo
Sijaona mantiki ya kutamka nyeti zangu... eti natembea nazo 24/7, we kama zako unaachaga kwenye friza home ngoja umeme ukatike zikuozee...... AND UNANISHAURI MIMI NI-THINK BIG... ANYWAY..Wewe kama clouds ndio kama nyeti zako unatembea nazo 24/7 hautamsikia Jide lakini kwa watu tusioshikiwa chini mbona Jide yupo kwenye rank ya juu hata sasa ndindindi inapigwa kila kona east Africa kwenye majumba maeneo ya starehe libraries na hata anafanya sold out shows kila mkoa mfuatilie wala Jide hajachuja bado anamaintain status yake.
Jide sio kama kina dimond wasafi manfongo ruby mauasama wa leo Jide ni legendary sio chipukizi anaehitija maximum airtime kila second.
Pamoja na clouds kutopiga ngoma zake bado Jide anafanya oneman shows kwani ni lini umeona wakina jumanature Mr poul stara Thomas crazy JK Mr II professor J na ma legend wengine wamebaki kwenye peak Jide aliyonayo saivi japo wao ngoma zao bado zinagongwa clouds????
Think big man.
Kwa point yako ya kwanza tu ina majibu yote.Sijaona mantiki ya kutamka nyeti zangu... eti natembea nazo 24/7, we kama zako unaachaga kwenye friza home ngoja umeme ukatike zikuozee...... AND UNANISHAURI MIMI NI-THINK BIG... ANYWAY..
1. Unajuwa kila mtu ana mwanamuziki wake anayempenda, bila kujali ana ukubwa gani kwenye ulimwengu wa muziki.. na mapenzi hayo huwa yanatia upofu wa kuona umpendaye anapoteaje...
2. Oneman (woman) show, ni baada ya kuwa alishatangazwa sana huko nyuma.... nakwambia gape la kutotangzwa linazidi kuwa kubwa kadiri siku zinavyoongezeka... BADO ANAYATUMIA MATUNDA YA KUELEWANA NA CLOUDS SIKU ZILIZOPITA.... anaporomoka taratibu....
3. Kuna wimbo wa Snura unaitwa Majanga... yaani ukiuacha wimbo ule peke yake bila clouds, HAUNA KITU... lakini clouds waliupandisha mpaka ukajulika na kila mtu .... So the same way wanaweza kukupandisha, watakushusha hivyo hivyo ukiingia kwenye 18 zao
4. JD anapotea kama mabavyo huyu Ruby atapotea....
Hiyo point hujailewa....Kwa point yako ya kwanza tu ina majibu yote.
So kumbe hapa hatuongei facts bali tunaongea upenzi wa mwanamuziki then as long you are not Jide fan hauwezi ongelea kitu chochote positive about her.
Me nilikua nipo neutral kumbe mwenzangu ulikua ki league basi hapa siwezi comment.
Hapana hapo sijatumia upenzi kabisa sababu hata mada yenyewe haijaweka team mbili hapa tunaongelea mchango wa clouds kwa wasanii.Hiyo point hujailewa....
Kinakufanya uandike hilo ni upenzi wako kwa JD na si uhalisia
Wewe ni muongo tena wakutupwa.. Diamond na IPP walikwaruzana kipindi cha mwanzo kabisa kabla ya uchaguzi mkuu na walimalizana mwanzoni kabisa wa mwezi March mwaka huu.Usijidanganye...
Fikiria hii
1. Diamond nyimbi zake hazikupogwa na IPP MEDIA kwa miaka mitatu, lakini alizidi kupaa...KISA CLOUDS WALIKUWA NAYE
2. JD nyimbo zake hazipigwi clouds, unona anavyopotea..??
3. Prof Jay, alikwaruzana na clouds, alianza kupotea
4. Jaribu kuwakumbuka wengine waliowahi kugombana na clouds nini kiliwakuta
Kwa kifupi, kugombana na clouds media inabidi ujipange... HUYO DOGO NDO ANAPOTEA HIVYO...
Ruby amedai haki yake kitu ambacho wengi wanakaa kimyaWewe ni muongo tena wakutupwa.. Diamond na IPP walikwaruzana kipindi cha mwanzo kabisa kabla ya uchaguzi mkuu na walimalizana mwanzoni kabisa wa mwezi March mwaka huu.
Kiukweli Ruby hana uwezo wa kupambana na media lakini usitumie mfano wa uongo kujustify unayotaka watu waamini.
Clouds wana nguvu kama media nyingine.. Kuna wasanii hawana ugomvi na Clods lakini wala hawawiki..Kwa hiyo si kweli ukiwa sawa na Clouds ndio umetoka.
Kimsingi msanii hatakiwi kugombana na media kugombana na media yeyote ile kunampunguzia nguvu...
Kimsingi Ruby hatoweza kama alivyo weza Lady jaydee... Ruby bado mchanga..
Umekubali kuwa IPP media ilikwaruzana na DIAMOND.... HAYA SEMA UWONGO WANGU NI UPI SASA?Wewe ni muongo tena wakutupwa.. Diamond na IPP walikwaruzana kipindi cha mwanzo kabisa kabla ya uchaguzi mkuu na walimalizana mwanzoni kabisa wa mwezi March mwaka huu.
Kiukweli Ruby hana uwezo wa kupambana na media lakini usitumie mfano wa uongo kujustify unayotaka watu waamini.
Clouds wana nguvu kama media nyingine.. Kuna wasanii hawana ugomvi na Clods lakini wala hawawiki..Kwa hiyo si kweli ukiwa sawa na Clouds ndio umetoka.
Kimsingi msanii hatakiwi kugombana na media kugombana na media yeyote ile kunampunguzia nguvu...
Kimsingi Ruby hatoweza kama alivyo weza Lady jaydee... Ruby bado mchanga..