Maslahi madogo Clouds yamtoa Ruby Fiesta

Maslahi madogo Clouds yamtoa Ruby Fiesta

Kwa hiyo Ruby ndo anajua maslahi kuliko Joh Makini au Fid Q?

Au yeye pekee ndiye angelipwa kidogo kuliko wengine?

Hilo buzi linalompa jeuri likimtema ataenda kuomba msamaha tu.

Kibongo kufanya kazi na Clouds ni maslahi tosha hata kama ni bure,Kuna vijana wanavipaji unique lakini wanaishia kuwaimbia wenza wao maghettoni kisa hakuna promo.

Jide mwenyewe akipata nafasi ya pili kukutana na Clouds kwa mara ya kwanza hawezi kushupaza shingo.

Huu mgogoro umemuathiri sema ndiyo hivyo tena.
Mgogoro umemwathiri vipi jide

Labda kama hujui kuwa like bifu lake limemuongezea sana kipato chake

Mimi bnafs kabla ya beef sikuwahi kuhudhuria show ya jide, ila ilipokuja beef kipind kike ngwea kafariki nilienda kushoo love kwake
 
Redio ya mkoa mmoja kwa msanii mwenye malengo ya kutoboa BET itamsaidia nini?

Unadhani watz wangapi husikiliza online au kupitia madish yao luningani?
Clouds walianza Tanzania nzima!!!?? Unawrza kuwa ni Mattercore
 
Me nahisi hiyo ni kiki tu huenda akawa moja ya surprise fiesta ikienda Dodoma au mayb Mbeya....kama Kiba alivyokua surprise kwa watu wa Mwanza....
NB; Clouds walisema kila mkoa utakua na surprise yake!!!!
Hahaaa hii maana ya surprise sasa inaanza kupoteza ubora , yaani Ruby awe surprise kwa mashabiki hahaa[emoji3] [emoji3]
 
Mgogoro umemwathiri vipi jide

Labda kama hujui kuwa like bifu lake limemuongezea sana kipato chake

Mimi bnafs kabla ya beef sikuwahi kuhudhuria show ya jide, ila ilipokuja beef kipind kike ngwea kafariki nilienda kushoo love kwake

You're not serious acha nikupuuze.

Wewe kwenda kwenye shoo moja ndiyo umemuongezea kipato?

Weka takwimu nione kipato cha Jide kabla na baada ya huo mgogoro kama kweli kimeongezeka.

Inaonekana hufuatilii hata music wa nchi hii.
 
You're not serious acha nikupuuze.

Wewe kwenda kwenye shoo moja ndiyo umemuongezea kipato?

Inaonekana hufuatilii hata music wa nchi hii.
Hahahaha we jamaa bhana ila ukweli ni kwamba mgogoro wa jide na clouds umemrudisha nyumba japo alijitaidi kupambana nao,
Jide alikuwa na bendi na mgahawa sasahivi havipo.
Ukweli ni kwamba kiushahidi wasanii wengi waliogombana na clouds hawapo kwenye chart
 
Hahahaha we jamaa bhana ila ukweli ni kwamba mgogoro wa jide na clouds umemrudisha nyumba japo alijitaidi kupambana nao,
Jide alikuwa na bendi na mgahawa sasahivi havipo.
Ukweli ni kwamba kiushahidi wasanii wengi waliogombana na clouds hawapo kwenye chart

Namshangaa huyo jamaa haoni athari ya huo mgogoro.
 
Hahahaha we jamaa bhana ila ukweli ni kwamba mgogoro wa jide na clouds umemrudisha nyumba japo alijitaidi kupambana nao,
Jide alikuwa na bendi na mgahawa sasahivi havipo.
Ukweli ni kwamba kiushahidi wasanii wengi waliogombana na clouds hawapo kwenye chart
We huelewi jide hajawahi kishuka kimuziki tangu ahombane na clouds na kuhusu huo mgahawa na bendi alivipumzisha kwa sababu ya mgogoro wake na gardener maana G alikuwa anataka wagawane Mali ambazo jide kazichuma kwa jasho lake , hiyo ndo sababu ya jide kutaifisha hizo Mali kijanja ,, yule mwanamke ni untouchable hayumbishwi
 
Sasa anajilinganisha na Jidee anadhani yy ni wakwanza kulipwa kidogo watu wanaenda kukuza majina 2 fiesta Yeye kama anaona wanaikubali ni wajinga mda c mref anapotea kwenye game
 
na huyo diamond hata Leo clouds wakimtaka kumtumia wanamtumia japo hawezi lipwa km anavyolipwa young killer au ruby Ila hawamlipi 50mils per show!!never!!!
Kwa taarifa yako fiesta wasanii almost wote hulipwa saw a utofauti unakuwa mdogo sana, wasanii wetu hawajiamini watu wametajirikia kwenye migongo yao kwa kutokujielewa na kujiamini.
 
Hujui soko la muziki liko wapi kamanda?

Kuna eatv na wengine

BTW ufalme wa clouds unaelekea kuisha.....Ndani ya miaka miwili ijayo hawatakuwa na ubavu tena
Clouds ni ngumu kushuka hawa jamaa ni wabunifu tofauti eatv na radio
We angalia hata matamasha wanaoandaa clouds na east africa utaona utofauti katika mafanikio.
East africa wamejaribu kuwashusha clouds wamechemka hata watangazaji wao wazuri wamekimbilia clouds
Labda efm maana nasikia karibu watazindua tv yao pia na wakajitanua mikoani wanaweza kupambana na clouds
 
Clouds ni ngumu kushuka hawa jamaa ni wabunifu tofauti eatv na radio
We angalia hata matamasha wanaoandaa clouds na east africa utaona utofauti katika mafanikio.
East africa wamejaribu kuwashusha clouds wamechemka hata watangazaji wao wazuri wamekimbilia clouds
Labda efm maana nasikia karibu watazindua tv yao pia na wakajitanua mikoani wanaweza kupambana na clouds

Mkuu....Efm ina miaka mingapi tangu ianze? na imeshaifunika Clouds dar....Huko kwingine haijaifunika kwa sababu bado hawajapata frequency...The moment wanapata frequency clouds wanapotea.

Recently Efm ndio wamekuwa on top of ubunifu hadi Clouds wanahangaika hawajui cha kushika

Nimekwambia miaka miwili kwa sababu ndani ya muda huo TV yao itakuwa imeshaanza na watakuwa na frequency mikoa yote mikubwa.

Clouds hawana muda mrefu kwenye game...wameshafika climax

Na vile wamewekeza kwenye kuwanyanyasa watu...Anguko lao litakuwa kubwa
 
Wansemaga hivyo hivyo mwisho wa siku wanaenda kuwapigia magoti
kwa ruge alisarenda kamanda sugu, sembuse ruby,
sugu_ruge_frontal.jpg
 
Hii habari nina mashaka nayo kama ina ukweli wowote! Ruby hawezi kuwa stupid kiasi hicho wakati anafahamu kabisa bado hajaweza kusimama mwenyewe kwa miguu yake! Isitoshe, Ruby yupo na THT na hadi sasa nyimbo alizonazo sidhani kama zinafika angalau 3.

Kwa upande mwingine, zaidi ya 90% ya wasanii wanaishobokea Fiesta na wala si kwa sababu eti wanaogopa Clouds kuwabania bali zinawalipa kutegemeana na status zao! Na ndio maana utakuta wasanii wengi tu wanakuwa kimya kwa muda mrefu lakini wakiona msimu wa Fiesta unakaribia tu, wana-release single ili wakumbukwe! Wasanii wengi hawana show yoyote ya maana zaidi ya Fiesta. Kwa wasanii wengi, Fiesta si tu opportunity ya kutengeneza pesa bali ndio platform pekee kubwa inayowakutanisha na mashabiki wengi. Hawafiki hata wasanii 5 hapa wa kuweza kuidengulia Fiesta! Uzuri ni kwamba, hata wao wenyewe wanafahamu kwamba there's no way Kiba au Diamond apate sawa na Baraka De Prince au Q Chilla!
 
Back
Top Bottom