ndolelejiUduhe
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,837
- 3,027
Atapenyaje ??Sishangai!
Kama taifa tuliamua siasa ndio iwe kazi inayolipa sana kuliko ueledi wa usomi wetu!!
Ualimu ,udaktari,uafisa kilimo mifugo n.k tupa kule japo unasotea miaka mingi!
Lakini vyeo vya kisiasa vinakula karibu nusu ya mapato ya bajeti Kila mwaka!!
Kupanga ni kuchagua!
Anahitajika mtu was kubadilisha hali!he atapenyaje!!?
Nimekaa hapa nasubiri kupenya!
Tutampenyezaje bila kushtukiwa na wajanja ?? 🙄🤠😅