Maslahi ya Mbunge wa Tanzania ni kufuru

Maslahi ya Mbunge wa Tanzania ni kufuru

Maslahi ya MBUNGE wa Tanzania by Martin Maranja Masese

Mshahara & Posho — Sh16.5M (mwezi)

Posho kujikimu — Sh250,000 (siku)

Posho kitako — Sh220,000 (siku)

Kiinua mgongo — Sh272M (5yrs)

Mkopo gari — Sh90M (5yrs)

Mfuko wa Jimbo — Sh55M (mwaka)

Malipo ya mafuta, katibu na dereva Posho

ziara za mafunzo ughaibuni

Posho za vikao kamati & semina

Mkopo mkubwa – dhamana ubunge

Bima ya afya kwa familia, BURE

Passport hadhi ya kibalozi, BURE

Mshahara hauna makato yoyote.

Hakuna makato mifuko hifadhi ya jamii


View attachment 3231790
Naomba mtu mmoja mtaalamu wa hesabu na anayejua haya mambo kwa uweledi atupigie hesabu, mbunge mmoja kwa mwaka mmoja wa kusinzia (kwa wanaosinzia) Bungeni anapata kiasi gani??? Na kwa idadi ya wabunge wote inatumika kiasi gani? Na je sitting allowance ya kamati wanalipwa? Kama ndiyo je ni kiasi gani?

Tukijua hizi hesabu tutapata hasira za kuwawajibisha wabunge wetu wakatatue kweli kero zetu au kutusemea bungeni. Lakini pia tutakua na nguvu ya kuchagua wawikilishi sahihi...

Na je wawakilishi toka Zanzibar (Baraza la wawakilishi) nao wapo Bungeni? Kama ndiyo, je wanalipwa mara mbili?

NB: KAMA HII HABARI NI YA KWELI
 
Maslahi ya MBUNGE wa Tanzania by Martin Maranja Masese

Mshahara & Posho — Sh16.5M (mwezi)

Posho kujikimu — Sh250,000 (siku)

Posho kitako — Sh220,000 (siku)

Kiinua mgongo — Sh272M (5yrs)

Mkopo gari — Sh90M (5yrs)

Mfuko wa Jimbo — Sh55M (mwaka)

Malipo ya mafuta, katibu na dereva Posho

ziara za mafunzo ughaibuni

Posho za vikao kamati & semina

Mkopo mkubwa – dhamana ubunge

Bima ya afya kwa familia, BURE

Passport hadhi ya kibalozi, BURE

Mshahara hauna makato yoyote.

Hakuna makato mifuko hifadhi ya jamii


View attachment 3231790
Piga hesabu kwa Mbunge aliyekaa bungeni miaka 20+, na bado anagombea tena!
 
Maslahi ya MBUNGE wa Tanzania by Martin Maranja Masese

Mshahara & Posho — Sh16.5M (mwezi)

Posho kujikimu — Sh250,000 (siku)

Posho kitako — Sh220,000 (siku)

Kiinua mgongo — Sh272M (5yrs)

Mkopo gari — Sh90M (5yrs)

Mfuko wa Jimbo — Sh55M (mwaka)

Malipo ya mafuta, katibu na dereva Posho

ziara za mafunzo ughaibuni

Posho za vikao kamati & semina

Mkopo mkubwa – dhamana ubunge

Bima ya afya kwa familia, BURE

Passport hadhi ya kibalozi, BURE

Mshahara hauna makato yoyote.

Hakuna makato mifuko hifadhi ya jamii


View attachment 3231790
Kwakweli ubunge mtamu acheni prof j apambane kurudi
 
Kila siku yanasema karibia imejaa kikoloni tuibadilishe wanakuja lukas na timu yake na kina wasira wanasema watanzania wana taka chakula hawataki katiba, sa watapataje chakula ikiwa hela zote mnajilimbikizia wenyewe?
 
Maslahi ya MBUNGE wa Tanzania by Martin Maranja Masese

Mshahara & Posho — Sh16.5M (mwezi)

Posho kujikimu — Sh250,000 (siku)

Posho kitako — Sh220,000 (siku)

Kiinua mgongo — Sh272M (5yrs)

Mkopo gari — Sh90M (5yrs)

Mfuko wa Jimbo — Sh55M (mwaka)

Malipo ya mafuta, katibu na dereva Posho

ziara za mafunzo ughaibuni

Posho za vikao kamati & semina

Mkopo mkubwa – dhamana ubunge

Bima ya afya kwa familia, BURE

Passport hadhi ya kibalozi, BURE

Mshahara hauna makato yoyote.

Hakuna makato mifuko hifadhi ya jamii


View attachment 3231790
 
Maslahi ya MBUNGE wa Tanzania by Martin Maranja Masese

Mshahara & Posho — Sh16.5M (mwezi)

Posho kujikimu — Sh250,000 (siku)

Posho kitako — Sh220,000 (siku)

Kiinua mgongo — Sh272M (5yrs)

Mkopo gari — Sh90M (5yrs)

Mfuko wa Jimbo — Sh55M (mwaka)

Malipo ya mafuta, katibu na dereva Posho

ziara za mafunzo ughaibuni

Posho za vikao kamati & semina

Mkopo mkubwa – dhamana ubunge

Bima ya afya kwa familia, BURE

Passport hadhi ya kibalozi, BURE

Mshahara hauna makato yoyote.

Hakuna makato mifuko hifadhi ya jamii


View attachment 3231790
Hii nchi hakika ni tajiri lakini ni kwa baadhi ya watu tu.
 
nadhani kwa hali halisi ya mazingira yalivyo, na ukizingatia majukumu mazito na wajibu muhimu walio nao kwa wananchi na Taifa kwa ujumla,

nadhani ni muhimu kuwaongezea privileges na immunities za kimaslahi na kimazingira zaidi ili kuwaongezea comfortability na spirit ya kuwajibika na kujitolea zaidi katika kuwatumikia wananchi na Taifa kwa ujumla, kwa weledi na bidii zaidi na zaidi na kwa maslahi mapana ya waTanzania wote.

Ni muhimu maslahi ya waandamizi hao wa kipekee kwa Taifa yakaboreshwa zaidi,

hayo ni maoni na mtazamo wangu kama mTanzania huru wa kawaida tu 🐒
Unapekenywa
 
Nashauri ccm iongeze maslahi Kwa wabunge. Hasa huyo aliyebinuka sarakasi.
 
Dah! Ndo maana Wanasifu na kuabudu mamlaka za juu, Yaani wanaishi kama wapo Dunia ya kwanza, wakati wapo kwenye nchi iliyotopea umaskini, ndo maana Trump amekata misaada, tunakopa ili tuje kuwaneemesha watu wachache. Kweli ngozi nyeusi tuna shida mahali
Hatuna akili sie
 
Back
Top Bottom