Hivi Magu yupo ili aweze kuendeleza alicho kisema...Hv zile mbwembwe za mwanzon za magu alipoingia madarakani na kusema mshahara wake utakuwa mil 9,zilikuwa za kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi Magu yupo ili aweze kuendeleza alicho kisema...Hv zile mbwembwe za mwanzon za magu alipoingia madarakani na kusema mshahara wake utakuwa mil 9,zilikuwa za kweli?
Kuwatumikia wananchi au kuyatumia matumbo yao? Usitudanganye katika hili.nadhani kwa hali halisi ya mazingira yalivyo, na ukizingatia majukumu mazito na wajibu muhimu walio nao kwa wananchi na Taifa kwa ujumla,
nadhani ni muhimu kuwaongezea privileges na immunities za kimaslahi na kimazingira zaidi ili kuwaongezea comfortability na spirit ya kuwajibika na kujitolea zaidi katika kuwatumikia wananchi na Taifa kwa ujumla, kwa weledi na bidii zaidi na zaidi na kwa maslahi mapana ya waTanzania wote.
Ni muhimu maslahi ya waandamizi hao wa kipekee kwa Taifa yakaboreshwa zaidi,
hayo ni maoni na mtazamo wangu kama mTanzania huru wa kawaida tu 🐒
Mmmh kweli wapo watu wataenda jehanam...nadhani kwa hali halisi ya mazingira yalivyo, na ukizingatia majukumu mazito na wajibu muhimu walio nao kwa wananchi na Taifa kwa ujumla,
nadhani ni muhimu kuwaongezea privileges na immunities za kimaslahi na kimazingira zaidi ili kuwaongezea comfortability na spirit ya kuwajibika na kujitolea zaidi katika kuwatumikia wananchi na Taifa kwa ujumla, kwa weledi na bidii zaidi na zaidi na kwa maslahi mapana ya waTanzania wote.
Ni muhimu maslahi ya waandamizi hao wa kipekee kwa Taifa yakaboreshwa zaidi,
hayo ni maoni na mtazamo wangu kama mTanzania huru wa kawaida tu 🐒
Hadi viungo vya mwili vimetajwa ktk maslahi yao😀Posho kitako
Kiinua mgongo
DuuhMwalimu miaka 35 anastaafu analipwa milion 46, huu ni ukichaa
hakuna haja ya kuhukumiana gentleman,Mmmh kweli wapo watu wataenda jehanam...
Kwa hiyo hawa ni muhimu kuliko madaktari na madaktari Bingwa wanaohitajika kwenye vituo vyetu vya afya na mahospitali?
Ni muhimu kuliko waalimu wanaohitajika kwenye shule zetu nchini kwetu?
Bila shaka wewe ni mmoja wa wanufaikaji...dhambi kubwa ya shetani ni ubinafsi...Acha tuone mwisho wa yote haya

relax gentleman,Kuwatumikia wananchi au kuyatumia matumbo yao? Usitudanganye katika hili.
