Labda aliokoka na ile issue ya poda kule bondeni... Au kama sijaelewa kuokoka kwake anamaanisha nini zaidi!!!!
Ohoooo!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ameokoka wakati kila siku anapost clips akizungusha inye
Masogagnge kaokoka.....!!!!
Ameokoka wakati kila siku anapost clips akizungusha inye
hapo sasa...hata muheshimiwa ameokoka ! hawakutani hata kwa waliookoka kweli?
Eeeh! Don't judge a book By its cover.Masogagnge kaokoka.....!!!!