Hivi shepu nzuri ni kuwa na matako makubwa tepetepe? Na kufanyiwa kabisa mashindano? Utu wa mwanamke uko wapi hapa?staha zake kama binadamu tinaziweka wapi?
Kwanini wanawake wenyewe baadhi yao wanakuwa ndio kichokoo cha haya yote?
Mkuu mbona hayo magot ka mkorogo huo[emoji15] [emoji15]
Vera habare nyingine, waache kumfananisha vera na vitu vya ajabuvera sidika ni mkali zaid ya masogange mara bilion mbili
Binamu hapana,nilimuona vera juzi kwenye TV, ni mzuri sana Wa sura na shepu, tofauti na anavyoonekana kwenye picha za Instagram, vera ni kisu na anaonekana ana roho nzuri,yan yupo tofauti na anavyoonekana Instagram, nimemkubal sana,sijawah kumkubali vera ila toka nimuone juz duh vera kiboko yaoVera ana sura nzito Mungu nisamehe na shape lake limezidi had linapoteza uhalia anakuwa ka wakuçhonga.
Binamu vera kiboko nakwambia, huwa namuonaga insta tu ila juzi nimemuona kwenye TV duh hatar, masogange anangojaNaah...my vote goes to Masogange.
She is fire!
Binamu vera kiboko nakwambia, huwa namuonaga insta tu ila juzi nimemuona kwenye TV duh hatar, masogange anangoja
Vera anakaa sehemu inaitwa kareni Nairobi, huko wanakaa watu wenye pesa zao ,ni kama masaki au oyster bay kwa huko kwetu, yule mwanamke ni shidaa,ana pesa na ana akili kichwani na anajielewa,nimesikiliza baadhi ya interview zake dah yupo tofauti na watu wanavyomsema vera, yan nimetokea kumkubali sanaVera anajua kujiuza na Ku date classy people nadhani shule INA msaidia tofauti na kina masogange hata pakukaa tu ni shida, Vera ana nyumba ya hatari.
Ungemuona na vera live ndo ungeniambia binamu, masogange haingii kwa vera, yani kamzidi kila kituWewe unamuonaga Vera kwenye tivii ila mimi nishamuonaga Masogange kwa macho yangu.
She is beautiful. There are no two ways about it.
Mpaka bupa?Ungemuona na vera live ndo ungeniambia binamu, masogange haingii kwa vera, yani kamzidi kila kitu
Nimeona vera before na vera after...amejichubua mnoo...sio rangi yake ile..ni chemicals..hapo nimemshusha sana.Ungemuona na vera live ndo ungeniambia binamu, masogange haingii kwa vera, yani kamzidi kila kitu
Hilo gazeti waliotoa hiyo tafiti, waliweka kigezo cha mwili wa asili usiotengenezwa kwa kemikali au upasuaji wowotevera sidika ni mkali zaid ya masogange mara bilion mbili
Masogange bado yuko organic[emoji106]Nimeona vera before na vera after...amejichubua mnoo...sio rangi yake ile..ni chemicals..hapo nimemshusha sana.
Tunayaminya minya full stimu ukilikuta ndani ya bikiniHivi haya matako huwa mnayafanyaje wadau?