Masogange, Davido ndani ya "PENZI" zito

Masogange, Davido ndani ya "PENZI" zito

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    32.7 KB · Views: 819
Habari ya mjini sasa ni Lowasa na Mafuriko,umbeya utarudi 26/10.

Sitowaangusha hahaha

Ahahha duh mmetisha..bado mna ndoto za kuingia ikulu tu?? Nyie mshakatwa aiseeh hamna jipya
 
Uongo tu mimi wala siamini.Davido star wa dunia kakosa watoto wakalia hadi atoke na popoma masogange?
Thou nae ni mkali ila kwa hadhi ya Davido hapana aisee.

Haaaah me cto shangaa Kama aliweza kutoka na yule msanii na producer techno miles wa Nigeria hata kwa davido haitokuwa maajabu sana
 
PENZI ni kikohozi, kulificha huwezi ! Habari ya mjini kwa sasa ni mahaba niue ya muuza nyago kwenye nyimbo za wanamuziki wa Bongo Fleva, Agness Gerald ‘Masogange ’ na staa wa muziki nchini Nigeria ‘Naija’ , David Adedeji Adeleke ‘Davido ’ baada ya kuoneshana penzi zito hadharani .

Habari kutoka kwa chanzo ambacho ni mtu wa karibu wa Masogange aliyeko Johannesburg nchini Afrika Kusini ‘Sauz ’ kimelieleza gazeti hili kwamba, wawili hao kwa sasa ni wapenzi wa kupika na kupakua .

Chanzo hicho kililimwagia gazeti hili ‘ubuyu ’ kwamba , katika tukio la hivi karibuni , Davido ambaye ni staa wa Ngoma za Skelewu na Aye alitokea nchini kwao, Nigeria na kwenda kukutana na mwanadada huyo nchini Afrika Kusini ambako wanaponda raha kwa sasa .

“Yaani Masogange na Davido ni mahaba niue, wanaponda raha kwa kwenda mbele maana hata juzi tu walikuwa kwenye klabu moja hivi wanakunywa na kula pamoja huku wakifurahia vilivyo uumbaji wa Mungu .

“Davido ametinga hapa Sauz akitokea Nigeria kwa ajili tu ya kuja kukutana na Masogange ambaye mara nyingi anakuwa Sauz, ” kilisema chanzo hicho.

WANASWA KLABU , WANYWESHANA POMBE
Chanzo hicho kilienda mbele zaidi na kutuma video ambayo inamuonesha Davido akimnywesha pombe Masogange huku wakiwa wamelewa tilalila bila kujali kwamba walikuwa klabu ambako kuna watu wengi.

“Angalieni hiyo video kwa ushahidi zaidi, Davido alikuwa akimnywesha pombe kali Masogange na kuna wakati Masogange naye alikuwa akimnywesha Davido .

“Nilikuwa nao klabu wakifanyiana vitendo vya kimahaba kama kunyweshana pombe kwenye chupa moja bila kujali macho ya watu ,” kilidadavua chanzo hicho na kuongeza:

“Nakwambia huku ( Sauz ) Masogange na Davido wanakula bata hadi kuku wanaona wivu . Yaani ni mapenzi mazito usiwapimie . ”

DIAMOND ATAJWA
Kwa mujibu wa chanzo hicho, Davido ambaye ni rafiki wa karibu na mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz ’ inadaiwa ndiye aliyemuunganishia jamaa huyo kwa Masogange kwani alikuwa akimsikia na kumuona kwa muda mrefu kwenye mitandao ya kijamii na akampenda .

“Si bure , kilichomvutia Davido ni ule mzigo wa Masogange ( makalio ) maana kila siku huwa anautundika kwenye Instagram ‘so ’ akaona mtu wa kumpigia pande ni Diamond , ” kilidai chanzo hicho.

MASOGANGE ATAFUTWA
Baada ya kuzipata habari hizo na ushahidi wa video, gazeti hili lilimtafuta Masogange ambapo jitihada hizo ziligonga mwamba kutokana na mwanadada huyo kutumiwa ujumbe kwenye mtandao wa kijamii wa WhatsApp bila kujibu.

Chanzo: GPL

Sasa ivi tuko busy na kumwondoa mkoloni mweusi CCM hizi mada kama hizi tutazirudia baada Oct 25!!
 
Haaaah me cto shangaa Kama aliweza kutoka na yule msanii na producer techno miles wa Nigeria hata kwa davido haitokuwa maajabu sana

Inawezekana lakin, masogange kaumbika yule na ni rahis kumshawishi mwanaume yeyote ndan na nje ya nchi ,shepu tu kabarikiwa kazi kwa dada zangu akina mwafulan wenye sura nzito kama fenes shepu hawana wao wakazane tu kusoma wawe akina anna makinda, madanga ya maana wawaachie akina lulu na masogange watanue
 
Kumbe kaacha ndo maana siku hizi havai ki-tom boy asavali
maandalizi ya kuingia ndoani japo wanga washampandia ungo wolper wa watu
pole zake

Binamu eti riziwan anataka namba yako nimpe? Toka jana ananisumbua akii
 
Back
Top Bottom