Masoko ya hisa ya Marekani yapoteza karibu Dola 1.2 Trilioni kwa ujio wa DeepSeek, Makampuni makubwa ya AI yaanza kuhaha

Upo sahihi na ndicho nilicho maanisha. China hawajaanza innovations leo pia ikumbukwe ni miongoni mwa jamii za kale
 
DeepSeek outperforms US entire AI industry

Hata Wamarekani wenyewe wamekiri ni wewe tu ndiye unayebisha

Umeona walichosema kampuni ya Kimarekani NVIDIA kuhusu DeepSeek? Unawabishia na hao?
 
Watengeneze na chips zao wachane na NVIDia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…