Mshinga
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 3,532
- 1,126
mfumo wa elimu yetu ya tanzania unatambua masomo matatu kwa kila combination.
mfumo wa kujiunga chuo kikuu unataka ufaulu wa masomo mawili tu.
Vitivo vyuo vikuu vinataka masomo mawili tu.
KWA NINI MWANAFUNZI ABEBESHWE MZIGO WA SOMO LA TATU???
hata kama lina umhimu wake lakini bado sijashawishika.
Mfano:
1.PCB,physics ni ya kazi gani mpaka mwanafunzi wa PCB alazimike kusoma physics yote,natambua kuwa kuna application ya physics kwa mwanafunzi anaesoma udakitari na fani zingine za kitabibu LAKINI INGEPASWA mwanafunzi wa PCB asome CB+basic applied physics kwa matumizi ya lazima tu.
2.PCM ilipaswa iwe PM+basic applied chemistry.
HUWEZI KUNISHAWISHI kuwa chemistry ya mtu anaetaka kuwa dakitari(PCB-physics haihitajiki sana) eti ifanane na chemistry ya mtu anaetaka kuwa injinia-with exclusion of engineering from BIOLOGY and CHEMISTRY(PCM-chemistry haihitajiki sana)
mifano inatosha.
Pia physics ya PCB= physics ya PCM.
MASOMO MAWILI YANATOSHA na kasomo kadogo ka tatu kwa matumizi madogo.
PIA MFUMO WETU UNATUWEKA ZAIDI SHULENI KIASI KWAMBA KWA KAWAIDA MWENYE MIAKA 18 ANATAKIWA KUWA FORM FOUR WAKATI KWA MFANO MDOGO WA UINGELEZA MWENYE MIAKA 18 YUKO CHUO KIKUU.
NB:KENYA HATA HIYO ADVANCE HAWANA NA WANAPETA TUUUUUUUUUUUUU NA WANATUZIDI SISI TUNAONG'ANGANIA MISOMO KIBAO YA ADVANCE NA HATA HIYO O LEVEL YAO NI KAMA YA KWETU TU KWA KIASI KIKUBWA SANA,kwa nini wao wanaweza na wameweza.LAZIMA TUANZE KUFIKIRIA TOFAUTI TUONDOKE KWENYE AKILI MGANDO NA KING'ANG'ANIZI
NIMEAMUA KUONGEZA MAKUSUDI MAELEZO HAYA KWA SABABU YA HOJA MOJA HAPO CHINI
Higher education
Main article: Universities in the United Kingdom
Students normally enter university from age 18 onwards, and study for an academic degree. Historically, all undergraduate education outside the private University of Buckingham and BPP University College was largely state-financed, with a small contribution from top-up fees, however fees of up to £9,000 per annum have been charged from October 2012. There is a distinct hierarchy among universities, with the Russell Group containing most of the country's more prestigious, research-led and research-focused universities. The state does not control university syllabuses, but it does influence admission procedures through the Office for Fair Access (OfFA), which approves and monitors access agreements to safeguard and promote fair access to higher education. Unlike most degrees, the state still has control over teacher training courses, and uses its Ofsted inspectors to maintain standards.[SUP][33][/SUP]
The typical first degree offered at English universities is the bachelor's degree, and usually lasts for three years. Many institutions now offer an undergraduate master's degree as a first degree, which typically lasts for four years. During a first degree students are known as undergraduates. The difference in fees between undergraduate and traditional postgraduate master's degrees (and the possibility of securing LEA funding for the former) makes taking an undergraduate master's degree as a first degree a more attractive option, although the novelty of undergraduate master's degrees means that the relative educational merit of the two is currently unclear.
Some universities offer a vocationally based foundation degree, typically two years in length for those students who hope to continue on to a first degree but wish to remain in employment.
Postgraduate education
Students who have completed a first degree are eligible to undertake a postgraduate degree, which might be a:
mfumo wa kujiunga chuo kikuu unataka ufaulu wa masomo mawili tu.
Vitivo vyuo vikuu vinataka masomo mawili tu.
KWA NINI MWANAFUNZI ABEBESHWE MZIGO WA SOMO LA TATU???
hata kama lina umhimu wake lakini bado sijashawishika.
Mfano:
1.PCB,physics ni ya kazi gani mpaka mwanafunzi wa PCB alazimike kusoma physics yote,natambua kuwa kuna application ya physics kwa mwanafunzi anaesoma udakitari na fani zingine za kitabibu LAKINI INGEPASWA mwanafunzi wa PCB asome CB+basic applied physics kwa matumizi ya lazima tu.
2.PCM ilipaswa iwe PM+basic applied chemistry.
HUWEZI KUNISHAWISHI kuwa chemistry ya mtu anaetaka kuwa dakitari(PCB-physics haihitajiki sana) eti ifanane na chemistry ya mtu anaetaka kuwa injinia-with exclusion of engineering from BIOLOGY and CHEMISTRY(PCM-chemistry haihitajiki sana)
mifano inatosha.
Pia physics ya PCB= physics ya PCM.
MASOMO MAWILI YANATOSHA na kasomo kadogo ka tatu kwa matumizi madogo.
PIA MFUMO WETU UNATUWEKA ZAIDI SHULENI KIASI KWAMBA KWA KAWAIDA MWENYE MIAKA 18 ANATAKIWA KUWA FORM FOUR WAKATI KWA MFANO MDOGO WA UINGELEZA MWENYE MIAKA 18 YUKO CHUO KIKUU.
NB:KENYA HATA HIYO ADVANCE HAWANA NA WANAPETA TUUUUUUUUUUUUU NA WANATUZIDI SISI TUNAONG'ANGANIA MISOMO KIBAO YA ADVANCE NA HATA HIYO O LEVEL YAO NI KAMA YA KWETU TU KWA KIASI KIKUBWA SANA,kwa nini wao wanaweza na wameweza.LAZIMA TUANZE KUFIKIRIA TOFAUTI TUONDOKE KWENYE AKILI MGANDO NA KING'ANG'ANIZI
NIMEAMUA KUONGEZA MAKUSUDI MAELEZO HAYA KWA SABABU YA HOJA MOJA HAPO CHINI
Higher education
Main article: Universities in the United Kingdom
Students normally enter university from age 18 onwards, and study for an academic degree. Historically, all undergraduate education outside the private University of Buckingham and BPP University College was largely state-financed, with a small contribution from top-up fees, however fees of up to £9,000 per annum have been charged from October 2012. There is a distinct hierarchy among universities, with the Russell Group containing most of the country's more prestigious, research-led and research-focused universities. The state does not control university syllabuses, but it does influence admission procedures through the Office for Fair Access (OfFA), which approves and monitors access agreements to safeguard and promote fair access to higher education. Unlike most degrees, the state still has control over teacher training courses, and uses its Ofsted inspectors to maintain standards.[SUP][33][/SUP]
The typical first degree offered at English universities is the bachelor's degree, and usually lasts for three years. Many institutions now offer an undergraduate master's degree as a first degree, which typically lasts for four years. During a first degree students are known as undergraduates. The difference in fees between undergraduate and traditional postgraduate master's degrees (and the possibility of securing LEA funding for the former) makes taking an undergraduate master's degree as a first degree a more attractive option, although the novelty of undergraduate master's degrees means that the relative educational merit of the two is currently unclear.
Some universities offer a vocationally based foundation degree, typically two years in length for those students who hope to continue on to a first degree but wish to remain in employment.
Postgraduate education
Students who have completed a first degree are eligible to undertake a postgraduate degree, which might be a:
- Master's degree (typically taken in one year, though research-based master's degrees may last for two)
- Doctorate (typically taken in three years)