Amalinze
JF-Expert Member
- May 6, 2012
- 6,780
- 5,305
Habari wadau wa JF na Bongo fleva,
Aliyekuwa mwanamziki wa bongo fleva na komandoo wa JWTZ aliyejulikana kama Masota afariki dunia.
Masota alitamba na vibao kadhaa alivyorecord kwa producer Majani miaka ya 2004 "Visa vya madent ",Marehemu ameacha mke na watoto watatu,ukiachia mziki pia alikuwa komandoo wa JWTZ kikosi cha ngelengele.
Sikiliza Wimbo Wake Hapa Chini Uliotengenezwa na Producer P-Funk Majani unaitwa WAKUSOMA.
Aliyekuwa mwanamziki wa bongo fleva na komandoo wa JWTZ aliyejulikana kama Masota afariki dunia.
Masota alitamba na vibao kadhaa alivyorecord kwa producer Majani miaka ya 2004 "Visa vya madent ",Marehemu ameacha mke na watoto watatu,ukiachia mziki pia alikuwa komandoo wa JWTZ kikosi cha ngelengele.
Sikiliza Wimbo Wake Hapa Chini Uliotengenezwa na Producer P-Funk Majani unaitwa WAKUSOMA.