jombi95
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 1,408
- 2,184
hizi akili za nyuma ya keyboard .Duu makomando wavuta magari kwa meno kwenye sherehe za uhuru kumbe nao wanakufaga
Mother f***r
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hizi akili za nyuma ya keyboard .Duu makomando wavuta magari kwa meno kwenye sherehe za uhuru kumbe nao wanakufaga
Subiri ujue ni sabuni ya aina gani imeenda kununuliwa dukani. [emoji36][emoji36]Mlianza kufwatilia mziki baada ya kuwasikia alikiba na diamond...
Wala haimaanishi hivyo ww unamjua Rado?Mlianza kufwatilia mziki baada ya kuwasikia alikiba na diamond...
we hushindwi kitu haahaaMe niko kwenye music industry lakini simjui
R.I.P
Duu aiseehuyu ni yule alikuwa anafanya mazoezi ya mazimisho ya uhuru bomu likamlipukia apumzike kwa amani ni pigo sana na maumivu makali aliyopitia kabla ya kifo chake akika duniani tunapita tu![]()
Duu sometime kuna picha zinahitaji censorship sio kutuma tu kwa sababu ulikua na camera au simu yenye camera ukajipigia pichahuyu ni yule alikuwa anafanya mazoezi ya mazimisho ya uhuru bomu likamlipukia apumzike kwa amani ni pigo sana na maumivu makali aliyopitia kabla ya kifo chake akika duniani tunapita tu![]()
Aliulizwa hilo swali kwenye mahojiano akalijibu vizuri sana kwamba jeshi linaenda kisasa na wasanii wanahitajika hata jeshini kuhamasisha mambo.kumbe hao elite nao wanaruhusiwa kuwa na fani nyingine kama hiyo ya muziki
[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]huyu ni yule alikuwa anafanya mazoezi ya mazimisho ya uhuru bomu likamlipukia apumzike kwa amani ni pigo sana na maumivu makali aliyopitia kabla ya kifo chake akika duniani tunapita tu![]()
RIP Young Blood!!!!Habari wadau wa JF na Bongo fleva,
Aliyekuwa mwanamziki wa bongo fleva na komandoo wa JWTZ aliyejulikana kama Masota afariki dunia.
Masota alitamba na vibao kadhaa alivyorecord kwa producer Majani miaka ya 2004 "Visa vya madent ",Marehemu ameacha mke na watoto watatu,ukiachia mziki pia alikuwa komandoo wa JWTZ kikosi cha ngelengele.
View attachment 650390View attachment 650391View attachment 650392
RIP Soldier. Asante kwa ufafanuziKama mnakumbuka lile tukio la makomandoo kutua na maparachuti uwanja wa Uhuru kwenye sherehe za Uhuru basis alikuwa yeye.alifariki juzi kwenye sherehe za Uhuru baada ya kujeruhiwa na mzinga Dodoma back stage kwenye maonesho akakimbzwa muhimbili akafariki huko..sio mmoja ya wale makomando wa Kongo yeye alipata ajali kwenye sherehe za Uhuru. mazishi tarehe 16 desemba kigamboni alipokuwa anaishi