Masota: Bongo fleva artist na komandoo wa JWTZ afariki dunia

Masota: Bongo fleva artist na komandoo wa JWTZ afariki dunia

f2970f9f0f072b884b82d7f97a6c2630.jpg
huyu ni yule alikuwa anafanya mazoezi ya mazimisho ya uhuru bomu likamlipukia apumzike kwa amani ni pigo sana na maumivu makali aliyopitia kabla ya kifo chake akika duniani tunapita tu
 
f2970f9f0f072b884b82d7f97a6c2630.jpg
huyu ni yule alikuwa anafanya mazoezi ya mazimisho ya uhuru bomu likamlipukia apumzike kwa amani ni pigo sana na maumivu makali aliyopitia kabla ya kifo chake akika duniani tunapita tu
Duu aisee
 
Kama mnakumbuka lile tukio la makomandoo kutua na maparachuti uwanja wa Uhuru kwenye sherehe za Uhuru basis alikuwa yeye.alifariki juzi kwenye sherehe za Uhuru baada ya kujeruhiwa na mzinga Dodoma back stage kwenye maonesho akakimbzwa muhimbili akafariki huko..sio mmoja ya wale makomando wa Kongo yeye alipata ajali kwenye sherehe za Uhuru. mazishi tarehe 16 desemba kigamboni alipokuwa anaishi
 
Kama mnakumbuka lile tukio la makomandoo kutua na maparachuti uwanja wa Uhuru kwenye sherehe za Uhuru basis alikuwa yeye.alifariki juzi kwenye sherehe za Uhuru baada ya kujeruhiwa na mzinga Dodoma back stage kwenye maonesho akakimbzwa muhimbili akafariki huko..sio mmoja ya wale makomando wa Kongo yeye alipata ajali kwenye sherehe za Uhuru. mazishi tarehe 16 desemba kigamboni alipokuwa anaishi
RIP Soldier. Asante kwa ufafanuzi
 
Back
Top Bottom