Masota: Bongo fleva artist na komandoo wa JWTZ afariki dunia

Masota: Bongo fleva artist na komandoo wa JWTZ afariki dunia

Kama mnakumbuka lile tukio la makomandoo kutua na maparachuti uwanja wa Uhuru kwenye sherehe za Uhuru basis alikuwa yeye.alifariki juzi kwenye sherehe za Uhuru baada ya kujeruhiwa na mzinga Dodoma back stage kwenye maonesho akakimbzwa muhimbili akafariki huko..sio mmoja ya wale makomando wa Kongo yeye alipata ajali kwenye sherehe za Uhuru. mazishi tarehe 16 desemba kigamboni alipokuwa anaishi
Aiseee mambo haya jamani
 
Kama mnakumbuka lile tukio la makomandoo kutua na maparachuti uwanja wa Uhuru kwenye sherehe za Uhuru basis alikuwa yeye.alifariki juzi kwenye sherehe za Uhuru baada ya kujeruhiwa na mzinga Dodoma back stage kwenye maonesho akakimbzwa muhimbili akafariki huko..sio mmoja ya wale makomando wa Kongo yeye alipata ajali kwenye sherehe za Uhuru. mazishi tarehe 16 desemba kigamboni alipokuwa anaishi

Aisee! Mungu Amjaalie Pumziko La Milele.

Mh. Rais Bila Shaka Utatuongoza kwenye mazishi ya komandoo wetu
 
Why Tz is lossing this number of elite soldiers this season?

Apepe
 
Kama mnakumbuka lile tukio la makomandoo kutua na maparachuti uwanja wa Uhuru kwenye sherehe za Uhuru basis alikuwa yeye.alifariki juzi kwenye sherehe za Uhuru baada ya kujeruhiwa na mzinga Dodoma back stage kwenye maonesho akakimbzwa muhimbili akafariki huko..sio mmoja ya wale makomando wa Kongo yeye alipata ajali kwenye sherehe za Uhuru. mazishi tarehe 16 desemba kigamboni alipokuwa anaishi
Kongo pia kuna makomandoo waliofariki?
 
Alikuwa kwenye maandalizi ya sikukuu ya Uhuru akiwa kikundi Cha landing Kutoka kwenye helicopter unfortunately alilipukiwa na bomu
Da haina haja ya watu kujua story za mtu muhimu kama huyu kwenye social nert kama hii.
Namkubali sana Mpwa J,c Kabipe
Bonge la Jemedari ndani ya komandoo fani.
Na machungu sana juu ya huyu kiumbe.
Tanzania imepoteza shujaa komando ndani ya medani ya kivita.
Rest in piece LuteinJC Kabipe.


Kumpoteza komandoo mmoja sawa na Ccm 1000
 
Back
Top Bottom