Me niko kwenye music industry lakini simjui
R.I.P
Sikuwahi msikia huyo mwanamziki. Anyway R.I.P hero
Mlianza kufwatilia mziki baada ya kuwasikia alikiba na diamond...Hii ya kuwa mwanabongofleva ndo anackia leo
kumbuka huwa wanakuwepo uwanjani kuonesha manjonjo hapo tu wanatambulika aanani salama kubainika kuwa wewe ni komando..?
Mnausikilizia huko jeshi eti Captain?Naujua wimbo wa Visa Vya Madenti..