Lung'wecha
JF-Expert Member
- Aug 20, 2014
- 927
- 574
Aiseee mambo haya jamaniKama mnakumbuka lile tukio la makomandoo kutua na maparachuti uwanja wa Uhuru kwenye sherehe za Uhuru basis alikuwa yeye.alifariki juzi kwenye sherehe za Uhuru baada ya kujeruhiwa na mzinga Dodoma back stage kwenye maonesho akakimbzwa muhimbili akafariki huko..sio mmoja ya wale makomando wa Kongo yeye alipata ajali kwenye sherehe za Uhuru. mazishi tarehe 16 desemba kigamboni alipokuwa anaishi
Kama mnakumbuka lile tukio la makomandoo kutua na maparachuti uwanja wa Uhuru kwenye sherehe za Uhuru basis alikuwa yeye.alifariki juzi kwenye sherehe za Uhuru baada ya kujeruhiwa na mzinga Dodoma back stage kwenye maonesho akakimbzwa muhimbili akafariki huko..sio mmoja ya wale makomando wa Kongo yeye alipata ajali kwenye sherehe za Uhuru. mazishi tarehe 16 desemba kigamboni alipokuwa anaishi
Kongo pia kuna makomandoo waliofariki?Kama mnakumbuka lile tukio la makomandoo kutua na maparachuti uwanja wa Uhuru kwenye sherehe za Uhuru basis alikuwa yeye.alifariki juzi kwenye sherehe za Uhuru baada ya kujeruhiwa na mzinga Dodoma back stage kwenye maonesho akakimbzwa muhimbili akafariki huko..sio mmoja ya wale makomando wa Kongo yeye alipata ajali kwenye sherehe za Uhuru. mazishi tarehe 16 desemba kigamboni alipokuwa anaishi
Ukijibiwa unitagKongo pia kuna makomandoo waliofariki?
Kitu cha kiyahudi Mzee. Uzi machine gunWakali wa hizi kazi hiyo ni UZI? RIP commando
Very sad. One of those things....RIP soldier[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Damu za barabarani zimewakinai sasa mizimu inataka za huku.Why Tz is lossing this number of elite soldiers this season?
Apepe
We ni boyaaaDuu makomando wavuta magari kwa meno kwenye sherehe za uhuru kumbe nao wanakufaga
kwani hawalipwi?JWTZ ni watumishi wa kuheshimiwa sana maana wanakesha kulinda mipaka yetu sisi tunalala majumbani kwetu. Wanafanya kazi ya kizalendo kabisa kwa ajili ya ustawi wa nchi yetu.
Alikuwa kwenye maandalizi ya sikukuu ya Uhuru akiwa kikundi Cha landing Kutoka kwenye helicopter unfortunately alilipukiwa na bomuNini kimemsibu? Too young to die.
Da haina haja ya watu kujua story za mtu muhimu kama huyu kwenye social nert kama hii.Alikuwa kwenye maandalizi ya sikukuu ya Uhuru akiwa kikundi Cha landing Kutoka kwenye helicopter unfortunately alilipukiwa na bomu
Kumpoteza komandoo mmoja sawa na Ccm 1000