Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Daahh!!! Jamaa alikuwa vizur aiseeMsikilizeni nime-attach wimbo wake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daahh!!! Jamaa alikuwa vizur aiseeMsikilizeni nime-attach wimbo wake.
Tanzania kwa unafiki tunashinda dunia. Iitwe posho mshahara au kifuta jasho au machozi Wanalipwa stahiki zao kwa elimu yao na kazi yaoWanacholipwa JWTZ hakiitwi mshahara ila ni posho. Hivi wakitaka walipwe mshahara unadhani kwa akili yako mbovu hivi mtaweza kweli.
Siku ikifika imefika mkuu, huu msemo wa too youn to die huwa unanivuruga, kifo hakijawekwa kwa watu waliokula chumvi tu, kama yeye ni too young to die, vip watoto wadogo na vipi watoto wachanga!?Nini kimemsibu? Too young to die.
Sasa kama mtu amemjua masota ndio ashindwe kumjua rado mkuu, wakat rado ni maarufu kabisa, alikuja kwa kasi kwenye game na utata juu kwa ngosha.Wala haimaanishi hivyo ww unamjua Rado?
[emoji17] [emoji17] [emoji17] [emoji17] [emoji17] [emoji24] [emoji24] [emoji24]huyu ni yule alikuwa anafanya mazoezi ya mazimisho ya uhuru bomu likamlipukia apumzike kwa amani ni pigo sana na maumivu makali aliyopitia kabla ya kifo chake akika duniani tunapita tu![]()
Wimbo mkali, Majani kwenye ubora wakeMsikilizeni nime-attach wimbo wake.
kufa na wewe tukuite komando manina zakoSIKU HIZI KILA MWANAJESHI AKIFA ANAITWA KOMANDOO
UVCCM SIKU HIZI HAMNA HOJA MMEBAKIA KUTUKANA TUkufa na wewe tukuite komando manina zako
Kama mnakumbuka lile tukio la makomandoo kutua na maparachuti uwanja wa Uhuru kwenye sherehe za Uhuru basis alikuwa yeye.alifariki juzi kwenye sherehe za Uhuru baada ya kujeruhiwa na mzinga Dodoma back stage kwenye maonesho akakimbzwa muhimbili akafariki huko..sio mmoja ya wale makomando wa Kongo yeye alipata ajali kwenye sherehe za Uhuru. mazishi tarehe 16 desemba kigamboni alipokuwa anaishi
umeona lakini kofia yake? au hujui hata komando wa Tanzania anavaa kofia gani ( barret)?SIKU HIZI KILA MWANAJESHI AKIFA ANAITWA KOMANDOO
rudia kunisoma labda utaelewa, usikimbilie kujibuumeona lakini kofia yake? au hujui hata komando wa Tanzania anavaa kofia gani ( barret)?
Namfahamu vizuri sana,na naomba nikusaidie tu alikua Special Force International Commando.rudia kunisoma labda utaelewa, usikimbilie kujibu
Una maana gani kusema special force international commando? Wengine sio commandos kwani? Ninachojua lazima upasi levels ambazo ni acceptable anywhere in the worldNamfahamu vizuri sana,na naomba nikusaidie tu alikua Special Force International Commando.
Mmoja wao ni harmo rappa jamaa ni wakitengoWanaruhusiwa kwa masharti maalum.
Hata ''Kitengo" cha Makumbusho nao inasemekana wanavijana wao kwenye Ubongo wa flavor.