Lamar BlacAmerican
JF-Expert Member
- Aug 9, 2013
- 974
- 2,305
Poleni kwa usumbufu na asanteni kwa kujali hali za wengine. Niko salama Alhamdulillah. Namshukuru pia aliyesambaza taarifa.
'AMESAIDIA.
Brother kikubwa uko salama.Poleni kwa usumbufu na asanteni kwa kujali hali za wengine. Niko salama Alhamdulillah. Namshukuru pia aliyesambaza taarifa.
'AMESAIDIA.
Kaachiwa naona japo polisi walikanusha kumkamata nafikiri zengwe LA bashite itakuwa limegonga mwamba mapema baada ya kuku kupiga sana mayowe mwewe akaamua akidondoshe kifaranga.