Masoud Kipanya adaiwa kukamatwa kwa kuchora katuni ya kichochezi. Yeye aibuka, adai aliyetoa taarifa 'AMESAIDIA'

Masoud Kipanya adaiwa kukamatwa kwa kuchora katuni ya kichochezi. Yeye aibuka, adai aliyetoa taarifa 'AMESAIDIA'

Anamchora bichwa mkuu Kira ck anamwangalia tu
Sasa Ngoja ashughulikiwe
Lisu alisema wakiisha wanasiasa itakua zamu ya raia
 
Mfyuuu eti mkoloni mweusi hahah yaani nyie vijana mtaendelea kuwa makarai for the rest of lives maana sijaona mzalendo..wengi wenu mko na ujasiri nyuma ya keyboard mkiwekwa hadharani mnalia Lia..kama wajiamini jiweke account yako verified ili upambane nao vizuri.Tulizeni mshono nyie.
Pole wewe, unaeogopa kivuli chako. Naona dawa imekuingia mkoloni mweusi ni hatari sana.
 
cea0212850d744cd158154623946b1d9.jpg
[emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41]
Huyu huenda asionekane tena!!
 
Duh Hii ndio Imemponza?
Siku nyingi kaacha kumchora Sizonje na bichwa lake la ngeu maana vitisho vilizidi

Siku hizi anatumia tu fasihi bila kumchora mtu au sura na ujumbe unagusamfupa
 
Mchoraji wa katuni Masoud Kipanya amekamatwa na Jeshi la Polisi muda mfupi uliopita kwa tuhuma za uchochezi baada ya kuchora katuni inayoichonganisha serikali na wananchi.
View attachment 665630
Watu wengine kama kukurupuka tuu kwani hapo kaandika kama ni nchi hii haiyo katuni au ni serikal na mambo yake kujishtukia tuu
 
Lakini mamlaka zinahangaika na wachora katuni...hii nchi ni ya msiba
Wachora katuni sio watu wadogo, esp wachora katuni za kisiasa na za kijamii, nchi nyingi wachora katuni wamesababisha madiliko makubwa tu kutokana na katuni zao,

Kwa hivyo hapo ni kujadili kama kweli ana hatia au hana..!?
 
Kwanza huyo mpuuzi eti cocochanel anajigamba kua maarufu sana JF eti anajina ....nimshamba tu wawe wanaji expose hata tuforum twa njee kam Nairaland waone pple with substance jinsi wanajenga hoja.....niafadhali watu wako mirembe kuliko mashabiki ya mafisiem!!
Mkuu cocochanel akili yake na wema na makonda kama wana tofauti basi ni ndogo sana ni sawa na ile tofauti iliyopo kati ya dini na siasa. Ni ndogo sana labda kwa kina gambo na kigwangwala wazir wa tweeter
 
Mmmmmmh clouds fm yamewakuta tena


Kuvamiwa na Bashite



Kuzuiwa majogoo kwa jukwaa la tigo fiesta


Moto kuwaka chumba cha kurekodia



Wanaanza mwaka kwa mtangazaji wao kutoweka kusikojulikana
 
Umemàliza? Maana povu limekutoka sana, halafu unafananisha USA na Uturuki? Ufahamu wako naona umepungua sàna. Nchi zote zinazominya demokrasia ndio zenye sheria kandamizi, mfn: Russia, Uturuki, Irani, Tanzania, Rwànda, Uganda na zingine nyingi tu. Làkini nchi zenye uhuru wa demokrasia mfn: USA, UK, Germàny, Kenya na NK hutaona upumbavu kama huo.



Aisee 2020 binafsi nitapiga tiki eneo lingine ilimradi sio la kijani mpaka nichane karatasi...


Wakiiba,na waibe tu...

Nina hasira sana


[emoji27][emoji27][emoji27][emoji27][emoji27][emoji27]
 
Mkuu wewe hutaki kuwaambia ?
Yeye atakuwa yupo mbali sana nje ya Dar. Nje ya Dar ni mbali sana hata jpm alipochaguliwa mabalozi walipoenda kumwona akala kona badala yake wakapokewa na mahiga tukaambiwa rais alikuwa nje ya Dar. Unakufahamu nje ya Dar wewe?
 
Wachora katuni sio watu wadogo, esp wachora katuni za kisiasa na za kijamii, nchi nyingi wachora katuni wamesababisha madiliko makubwa tu kutokana na katuni zao,

Kwa hivyo hapo ni kujadili kama hilo kosa kweli analo au hana..!?
Nakubali.
 
Mfalme wetu na nguo yake ya ajabu.... Tujipange barabarani kumsubiri apite na nguo lake. Anataka kuchorwa na masifa kedekede ole wako umkosoe [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
 
Watu wengine kama kukurupuka tuu kwani hapo kaandika kama ni nchi hii haiyo katuni au ni serikal na mambo yake kujishtukia tuu
Si ndio kama Kakobe, kasema unautajiri kuzidi serikali, basi bashite akawaagiza TRA wamkague!!! Hahahaaaaaaaa maoka.
 
Back
Top Bottom