Masoud Kipanya adaiwa kukamatwa kwa kuchora katuni ya kichochezi. Yeye aibuka, adai aliyetoa taarifa 'AMESAIDIA'

Masoud Kipanya adaiwa kukamatwa kwa kuchora katuni ya kichochezi. Yeye aibuka, adai aliyetoa taarifa 'AMESAIDIA'

Mchoraji wa katuni Masoud Kipanya anadaiwa kukamatwa na Jeshi la Polisi muda mfupi uliopita kwa tuhuma za uchochezi baada ya kuchora katuni inayoichonganisha serikali na wananchi.

View attachment 665630

UPDATE:
JamiiForums imewasiliana na mwajiri wake (Clouds Media Group) na imehakikishiwa kuwa taarifa hizi zinazosambazwa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii ni UZUSHI.

Yeye (Kipanya) asema aliyesambaza taarifa hizi "AMESAIDIA"

View attachment 665944

“Insanity is doing the same thing over and over again and expecting different results.”

&

"hate begets hate"
 
Mimi nadhani kilichowaudhi ni jinsi serikali inavoonekana imechoka kwa mujibu wa katuni hiyo na siyo hiyo silaha[emoji2]
 
Kama hii Habari ni kweli!!! aaaaaa huko tuendako sasa tutafikia hatua ya &£#@-_+(/*€¥$¢^°={\✓[[emoji767] [emoji5][emoji5]
 
ce6f2515b68a9936e916c9a167041c24.jpg
bcdd98a76adf050bbbb0522862c3fcde.jpg
5e7b656985288898c6356db5e7da4b4a.jpg
93f1e6c50efb45457886069c0052b4c7.jpg
66524a836b237be7afeb4034d2007650.jpg
997c56a4c3f7f3b0d7d3d4b539b70767.jpg
1ae34e187930d7a21922a9f571c352a1.jpg
30bc1c78345799244a03346d8db1d60c.jpg
13b1539229fc8f665a107444642a2063.jpg
ca802ea1779cae063bd5a79fd17882dd.jpg
2b7f684e9b5e7a5dfc680ce1bd5f2bbb.jpg
 
Sasa huyo sirikali aliyebeba hiyo missile mbona kadhoofu hivyo...hilo halivumiliki, akamatwe tu
 
Lakini ukweli halisi ni kuwa huyo Masoud alidanganya sana kwa kuandika kuwa silaha yetu iliyobaki ni kodi tu TRA. Rwakati bado tunao TCRA. Au Masoud hujui kuwa vituo vya televisheni tunavipa kibano kupitia TCRA!?
 
Back
Top Bottom