Masoud Kipanya adaiwa kukamatwa kwa kuchora katuni ya kichochezi. Yeye aibuka, adai aliyetoa taarifa 'AMESAIDIA'

Masoud Kipanya adaiwa kukamatwa kwa kuchora katuni ya kichochezi. Yeye aibuka, adai aliyetoa taarifa 'AMESAIDIA'

Mchoraji wa katuni Masoud Kipanya anadaiwa kukamatwa na Jeshi la Polisi muda mfupi uliopita kwa tuhuma za uchochezi baada ya kuchora katuni inayoichonganisha serikali na wananchi.

View attachment 665630
View attachment 669204
UPDATE:
JamiiForums imewasiliana na mwajiri wake (Clouds Media Group) na imehakikishiwa kuwa taarifa hizi zinazosambazwa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii ni UZUSHI.

Yeye (Kipanya) asema aliyesambaza taarifa hizi "AMESAIDIA"

View attachment 665944

Uchochezi huo.......................
Mchoraji wa katuni Masoud Kipanya anadaiwa kukamatwa na Jeshi la Polisi muda mfupi uliopita kwa tuhuma za uchochezi baada ya kuchora katuni inayoichonganisha serikali na wananchi.

View attachment 665630

UPDATE:
JamiiForums imewasiliana na mwajiri wake (Clouds Media Group) na imehakikishiwa kuwa taarifa hizi zinazosambazwa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii ni UZUSHI.

Yeye (Kipanya) asema aliyesambaza taarifa hizi "AMESAIDIA"

View attachment 665944

Uchochezi huo......

APATE NAFUU.jpg
 
MipoliCCM inakamata kama mijibwa isiyotumia akili. Kipanya kakosa nini hadi imkamate hii mitutusa?
 
MipoliCCM inakamata kama mijibwa isiyotumia akili. Kipanya kakosa nini hadi imkamate hii mitutusa?
Unachangia kitu cha January 2018!! Wakati ilikuja kujulikana ni uongo! Uwe unaangalia tarehe mkuu!!
 
Kwani polisi hawana kalamu na karatasi? Si wachore katuni zao za kuipendezesha serikali!
Au waajiri wasanii (mavuvuzela) wafanye kazi ya kuisifia serikali kutwa kucha.

Yaani ni ajabu!
Kajikalamu cha Michuzi kinawashinda akina tibisii, uhulu, chaneli teni na safu nzima ya pale maelezo na wasemaji wao kibao!

Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom