Dadykiller
Senior Member
- Apr 24, 2024
- 198
- 347
Ni kama upo akilini mwangu...hakuna mwanasheria anaeongea kwa mihemuko na kujidai kama huyu...naona wameokota bush lawyer huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sheria hiwa hazisemi hivyo mkuu. Unadhani wale ambao mali zao hupigwa minada huwa ni manachela pekee? Kuna watu walijsribu kuleta uhuni huo, yaani mali zilipokamatwa mke ndiyo akaenda kukataa mahakamani kwamba hatambui deni sababu hakuwahi kuambiwa na mali zinazokamatwa ni matrimonial properties, lakini wakaangukoa pua.
Mwanasheria Mshauri ameandika makala yenye elimu na mwongozo wa kisheria bila kurejea sheria wala hukumu yoyote ile.![]()
BENKI HAIWEZI KUUZA NYUMBA KWA MKOPO AMBAO MMOJA WA WANANDOA HAKUSHIRIKI.
NA BASHIR YAKUB- Ukisoma kichwa cha habari utaona nimeongelea nyumba lakini kimsingi mchakato huu unahusisha mal...sheriayakub.blogspot.com
Babalevo alikuwaga na akili nzuri kidogo ila alivyo ingia jela akatoka shida ikaanza ..sijui jela walimfanya niniKuna vijana wa hovyo sana tumefanya makosa sana kuwapa nafasi ya kuwa sikiliza kwenye jamii yetu kwa siku za karibuni, matokeo yake ndiyo hayo. Wameenda mbali na kujifananinisha na mdudu chawa. Chawa/machawa sasa wamekua wanaropoka ropoka tu.Bado na yule mwingine sijuwi alipata vipi udiwani enzi hizo.
Ataropokaje wakati hizi ni zama nyingine,,,,kwani yale madai ya Membe nayo yaliishia wapi??Kwa waropokaji kama mwijaku wanatakiwa kufinywa hivo, toka marehem Membe amfinye musiba umeshamsikia tena akiropokwa ujinga
Kati yao kuna kiongozi?Binafsi nilishangaa sana!
Public figure una mu attack mtu maarufu live Kwa media Kwa tuhuma nzito kama hiyo kivipi!!?
Hivi zile seminar elekezi Kwa viongozi baada ya kuteuliwa Bado zipo!!?au tangu zifutwe awamu ile!!
Na mke tutamchukua, kazidi sana kuvuka mipaka. Analeta kujuana hadi kwenye mambo hatarishi. Kashfa ya dili haramu sio nzuri kipanya
Tutamchangia mzee wa kula tunda kwa masihara akampige katelero mkewe tuko tayari kuchanga...Wanaume tunadharirishwa na hawa wanaume km mabinti bora tu ajitambulishe yy ni upinde tujue kaleft group kuliko kujiita mwanaume.Na mke tutamchukua, kazidi sana kuvuka mipaka. Analeta kujuana hadi kwenye mambo hatarishi. Kashfa ya dili haramu sio nzuri kipanya akomae nae.
hata kama lakini haliwezi kuuzwa. Nilishawahi kuwa shahidi kwenye kesi ya mkopo ambapo nyumba iliwekwa kuwa matrimonial home na benki ilishindwa kuuza hiyo nyumba.Mkuu, Kwani katika umiliki wa mali mfano hilo ghorofa umiliki si unasoma jina moja?
Ama inakuwaje?