Masoud Kipanya anafanya biashara gani hadi aendeshe magari ya kifahari? Mwenyewe amejibu..

Masoud Kipanya anafanya biashara gani hadi aendeshe magari ya kifahari? Mwenyewe amejibu..

Habari yenu wakuu,
View attachment 686139
Mimi nmeanzisha hii thread kutaka kujua ni biashara gani huyu Masoud Kipanya anafanya Mjini Dar. Haiwezekani mtoto mdogo awe anaendesha magari ya kifahari kwa kipato cha kuchora Katuni za Mwananchi.

Juzi kati alinipita na gari la kifahari la aina yake, nikajaribu kumpiga picha akaniacha alikuwa speed. Sasa leo nimemuona nikamzoom akaingia kati nikamfotoa kwa mbali.

Je katuni zinalipa kiasi hicho? Au naye ana wafadhili? Mbona hajioneshi kama anahela za kununua magari ya kifisadi?

Mwenye kujua katoa wapi hela. Au Mambosasa amuite amhoji tujue.

Juzi kati alitekwa. Hajasema kwanini alitekwa, hajasema walikuwa wanamdai nini wala hajasema amewapa nini wakamuachia.
na ghorofa analo kitambo anakazi kibao
 
Habari yenu wakuu,
View attachment 686139
Mimi nmeanzisha hii thread kutaka kujua ni biashara gani huyu Masoud Kipanya anafanya Mjini Dar. Haiwezekani mtoto mdogo awe anaendesha magari ya kifahari kwa kipato cha kuchora Katuni za Mwananchi.

Juzi kati alinipita na gari la kifahari la aina yake, nikajaribu kumpiga picha akaniacha alikuwa speed. Sasa leo nimemuona nikamzoom akaingia kati nikamfotoa kwa mbali.

Je katuni zinalipa kiasi hicho? Au naye ana wafadhili? Mbona hajioneshi kama anahela za kununua magari ya kifisadi?

Mwenye kujua katoa wapi hela. Au Mambosasa amuite amhoji tujue.

Juzi kati alitekwa. Hajasema kwanini alitekwa, hajasema walikuwa wanamdai nini wala hajasema amewapa nini wakamuachia.
Mleta mada unatia aibu sana naomba usiwe mkazi was DSM maana nyie ndio mnaotudhalilisha wana dsm
 
Hahahahaha kupata vichekesho kama hivyo andik Mtulia kisha tuma 23344.... Yaani fedha za katuni au maisha plus zinunue hammer hahahaha...

Infact, Mwananchi jamaa analipwa laki 8. Clouds 1.5... Maisha plus ilikufa longtime ago... Kilimo kamuulize millionea Sumry habari za kilimo, then ndio urudi tena
jumlisha na akili zake lazima awe na hammer aisee wacheni kudhani kwavile nyie hamtaki kujishughulisha na wenzenu wako kama nyie umbea ndo kazi hapo ulipo una kasuruale kamoja na tecno m3 unamjadili mwanamume mwenzio ambae anajibidisha kupata maisha yake hehehe stori za vijana wa kitanzania ni pumba tupu
 
Mnatoa wapi muda wa kufuatilia maisha ya watu nyie au mnalipwa kwa kufanya hivyo?

Laiti ningekuwa na huo muda ningefuatilia yenu mnaofuatilia watu.
Kufuatilia maisha ya mtu kwa juu juu ni moja ya part ya motivation, siyo kwa ubaya. [emoji23]
 
Itakuwa wewe ni mgeni sana na hupaswi kumuita masoud mtoto mdogo hata kidogo. Jamaa kaanza hustle kitambo sana kipindi ana duka la nguo la KP COLLECTION enzi hizo anawavalisha mastar kibao. In short yule jamaa hategemei katuni wala utangazaji kuishi mjini
 
Pesa na umri nivitu visibyoendana kabsa hasa kwazama hizi ambazo vjana ndowapo vzur kuliko wazee

Pia unaonekana mshamba mshamba sana hata kwahivi vgar vya milion mia kadhaa tu ndoubabaike kias hicho
 
Sikujua kama huu uzi una page nyingi hivi, ngoja nkalete kahawa maana naona story nyingi [emoji1550][emoji1550][emoji1550]
 
....Haiwezekani mtoto mdogo awe anaendesha magari ya kifahari kwa kipato cha kuchora Katuni za Mwananchi. Kama Masoud kwako ni Mtoto Mdogo, Mkuu utakuwa Mtu mzima sana!
Una lako jambo
 
Kwa kukusaidia tu masoud kipanya ni mchora katuni wa kwanza kuendesha Benz miaka ya 2000 nchi hii
 
Duh huo unafiki wa hali ya juu mpaka ulikuwa na muda wa kupiga gari picha.
 
Habari yenu wakuu,
View attachment 686139
Mimi nmeanzisha hii thread kutaka kujua ni biashara gani huyu Masoud Kipanya anafanya Mjini Dar. Haiwezekani mtoto mdogo awe anaendesha magari ya kifahari kwa kipato cha kuchora Katuni za Mwananchi.

Juzi kati alinipita na gari la kifahari la aina yake, nikajaribu kumpiga picha akaniacha alikuwa speed. Sasa leo nimemuona nikamzoom akaingia kati nikamfotoa kwa mbali.

Je katuni zinalipa kiasi hicho? Au naye ana wafadhili? Mbona hajioneshi kama anahela za kununua magari ya kifisadi?

Mwenye kujua katoa wapi hela. Au Mambosasa amuite amhoji tujue.

Juzi kati alitekwa. Hajasema kwanini alitekwa, hajasema walikuwa wanamdai nini wala hajasema amewapa nini wakamuachia.
Kwa kweli nimekuwa highly disturbed na hali ya afya ya akili zako kwa maana ya psychological state of your mind. Umefikaje huko na nini kusudio lako katika hii post? You need help brother!
 
huu uzi wachangiaji karibu wote ni wana dar es salaam, kazi kutupiana vijembe tu, hamna hata la maana
 
Back
Top Bottom