tajirijasiri
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 2,863
- 3,854
Hummer siyo gari ya kifahari kihivyo, kama ukiweza kununua RAV2 unaweza pia kununua Hummer iliyotumika, na kuiwekea Mafuta siyo ishu unaweza kuitumia mara 2 kwa wiki!
Habari yenu wakuu,
View attachment 686139
Mimi nmeanzisha hii thread kutaka kujua ni biashara gani huyu Masoud Kipanya anafanya Mjini Dar. Haiwezekani mtoto mdogo awe anaendesha magari ya kifahari kwa kipato cha kuchora Katuni za Mwananchi.
Juzi kati alinipita na gari la kifahari la aina yake, nikajaribu kumpiga picha akaniacha alikuwa speed. Sasa leo nimemuona nikamzoom akaingia kati nikamfotoa kwa mbali.
Je katuni zinalipa kiasi hicho? Au naye ana wafadhili? Mbona hajioneshi kama anahela za kununua magari ya kifisadi?
Mwenye kujua katoa wapi hela. Au Mambosasa amuite amhoji tujue.
Juzi kati alitekwa. Hajasema kwanini alitekwa, hajasema walikuwa wanamdai nini wala hajasema amewapa nini wakamuachia.
-----------
UPDATE: 30 January, 2018
Majibu ya Masoud Kipanya;
View attachment 687566
Masoud Kipanya amezaliwa 1972Nadhani kiumri yupo 40+ so kumuita mtoto mdogo unakosea mzazi!
Okay..tuanze.Kipanaya kaanza long time kwa kuhisi hisi mali zinafanananae ila bashite yule wamakonda tungeanzia hapo
AiseeUna hilo tu au masoud najua ana yard ya magari jangwani toto kanko kitu kama hichi lbda ww umekuja mjini juzi kutoka kolomije ndio.mnaofnya kumbi za stareh kutufungia saa 6
Kweli kabisa mkuu...na hii hoja naomba Moderator ama aiMOVE kwenda chitchat au MMU kwani imekaa KIKE (kiumbeya) zaidi. Ni aibu kwa mwanaume kijadili maendeleo ya mwanaume mwenzake badala ya kufaiti kiume ili amfikie kimaendeleo.Hiyo ni hoja au kihoja? huwezi kuwa mwanaume halafu unafuatilia mambo ya watu wengine,