Masoud Kipanya aongeza mke wa nne

Masoud Kipanya aongeza mke wa nne

kwa Hilo kabugi na ukumbuke hakuna mwanamke anaependa ukewenza sema ni umasikini wa hao wanawake ndo umewapekea kuolewa hivyo.
Suala la kuchukia "Mathna" kwa Wanawake wengi ni kutokana na wivu tu, na hili halimaanishi kwamba hawapendi Uislam. Wakieleweshwa wanaelewa kabisa. Wapo baadhi ya Wanawake huwahimiza hasa waume zao waongeze (baadhi yao kutokana na Imani zao kuwa kubwa zaidi). Hiyo ya Umasikini fanya utafiti wako vizuri. Wapo wanawake wala sio masikini na wanaolewa "Mathna" au wanahimiza waume zao waoe zaidi.
 
Kwenye ulimwengu wa kistaarabu tu kuwa na wanawake wanne ni ubatili. Yani hisia zime zidi ufahamu wako ama zime kutawala.
Huo Ulimwengu wa "Kistaarabu" ambao hautaki sisi tufuate Dini yetu hatuutaki, bakini nao wenyewe.

Halafu zipo sababu nyingi za watu kuoa wake wengi sio hisia tu.
 
Well thats the truth...sasa unakuwa na wake wengi ili iwaje...sii ili uzungukwe na mbususu na matiti. Just imagine thre or four women just devouring ur 🍆 as u watch 🍑s jiggle infront of. There is no bwtter feeling than that...women worshiping ur d.ick. thats the apex of mans satisfaction
Huo sio utaratibu katika Uislam. Ahsante.
 
Uki soma vitabu vya Mfalume Suleiman uta ana sema kabisa yote aliyo fanya ni "utupu na kujilisha upepo" yani ana juta, ana hakuona faida yoyote ya kua na wake wengi.

Kwenye ulimwengu wa kistaarabu tu kuwa na wanawake wanne ni ubatili. Yani hisia zime zidi ufahamu wako ama zime kutawala.
Ni mfalme Suleiman yupi unayemsema wewe? Na ni vitabu gani unatumia kama reference?

Hapa namuongelea mfalme Suleiman wa kwenye Biblia na reference ni Biblia.

Kama na wewe wamzungumzia huyuhuyu tueleze ni kitabu kipi katika biblia na ni verse gani?
 
Pesa unaweza kuwepo lakini sababu ya ndoa usiwe na uwezo nayo
Ivoivo hata kucheka cheka Ndani ya nyumba kunatosha tu!! na kunisindikiza harusini!! usisahau pia na kuishika shika pia nishindwe jamani Mweee! wee babu vepe? mara niinyoe kiduku!! Mara niisuke Mabutu zivu lake jeusi lile!!!....... ni raha pia!!

Raha za ile kitu ziko miingi sana! hujazijulia!!! sababu hujaenda jando na unyago!! umekulia kwa Lami ya mbagala!! hivi unajua ile inapiga makofi na kushanglia????
 
Ni mfalme Suleiman yupi unayemsema wewe? Na ni vitabu gani unatumia kama reference?

Hapa namuongelea mfalme Suleiman wa kwenye Biblia na reference ni Biblia.

Kama na wewe wamzungumzia huyuhuyu tueleze ni kitabu kipi katika biblia na ni verse gani?
Ecclesiastes 1:14
 
Huo Ulimwengu wa "Kistaarabu" ambao hautaki sisi tufuate Dini yetu hatuutaki, bakini nao wenyewe.

Halafu zipo sababu nyingi za watu kuoa wake wengi sio hisia tu.
Masood nime mfahamu toka ana tangaza kipindi cha watoto clouds akiwa na Kaka Bonda na Amina Chifupa ni mtu conscious sana hata anavo ongea utajua tu. Nili taka kusema ni maamuzi yake na ana haki ya kufanya anacho taka ili mradi havunji sheria, nili kua natoa mawazo tu kwa upande wangu kuhusu ndoa za wake wengi.
 
Well thats the truth...sasa unakuwa na wake wengi ili iwaje...sii ili uzungukwe na mbususu na matiti. Just imagine thre or four women just devouring ur 🍆 as u watch 🍑s jiggle infront of. There is no bwtter feeling than that...women worshiping ur d.ick. thats the apex of mans satisfaction
Eeeeeh mibususu ndio Hadi imekufanya unaslang hivyo ndugu yangu kha!😂😂
 
Eeeeeh mibususu ndio Hadi imekufanya unaslang hivyo ndugu yangu kha!😂😂
Acha tuu yaani yaani ile stimu nayopata wakati unaangalia warembo wanavrivate matako yao na kukuchapachapa na matiti ni balaa...sasa imagine unaona wanawake wanne
 
Jamani mwenye habari kamili naomba tu anijuze,mbona Dada wa taifa anaongea Kama ana jazba Sana na Kaka Masoud?mkaka wa watu namuonaga Hana Mambo mengi na watu anaendelea na shughuli zake za vikatuni Ila Dada anakazia kuwa Kaka hafai!hata sielewi
 
Acha tuu yaani yaani ile stimu nayopata wakati unaangalia warembo wanavrivate matako yao na kukuchapachapa na matiti ni balaa...sasa imagine unaona wanawake wanne
Am done with u!🙌🙌
 
Back
Top Bottom