TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Duh ! Kumbe member wa heko! Tayari.
huo ndio mwaka ambao katuni yake ya kwanza ilitoka katika gazeti la Heko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huo ndio mwaka ambao katuni yake ya kwanza ilitoka katika gazeti la Heko.
Msamiati huu nimeujua leo."Mathna"
Kuna tofauti Gani na kuwa na michepuko minne? Kipi ni Hatari zaidi?Uki soma vitabu vya Mfalume Suleiman uta ana sema kabisa yote aliyo fanya ni "utupu na kujilisha upepo" yani ana juta, ana hakuona faida yoyote ya kua na wake wengi.
Kwenye ulimwengu wa kistaarabu tu kuwa na wanawake wanne ni ubatili. Yani hisia zime zidi ufahamu wako ama zime kutawala.
Kipanya kama Kitenge kwenye ubora wao wa kuoa wanawake wengi utadhani wanaishi zama za mawe, kumbukeni mkiondoka duniani mnacha dhahama kwa mlio waacha.Wengi humfahamu kwa jina la Masoud Kipanya, lakini hilo si jina lake halisi, tunaweza kusema hilo ni jina lake la sanaa kwani limetokana na na katuni za Kipanya ambazo huwa anachora.
Jina lake ni Ali Masoud, jina la Kipanya ni matokeo ya katuni ya Kipanya aliyoibuni zaidi ya miaka 28 iliyopita. Alizaliwa tareha 23 Juni 1972 jijini Dar es salaam.
Kipanya alianza kuchora katuni akiwa darasa la pili, na alianza kwa kuiga tu katuni za ndani na za nje kama ilivyo kawaida kwa yoyote anayeanza kufanya kitu, ila ‘professionally’ alianza rasmi mwaka 1988, huo ndio mwaka ambao katuni yake ya kwanza ilitoka katika gazeti la Heko.
Hatimaye kapata mke wa nne
View attachment 2091463
View attachment 2091464
View attachment 2091465
View attachment 2091466
Kule nimeshakimbia,,tumeagizwa tuikimbie nn?Ah jamni why...mie nasubiria story zako za kuliwa kimasikhara jamani
One for the road bwana just one more story ya kuondokea rasmiKule nimeshakimbia,,tumeagizwa tuikimbie nn?
😂😂😂😂😂Una addiction wewe!nitapiga bomu moja weekend usijaliOne for the road bwana just one more story ya kuondokea rasmi
Safi kabisa wee leta bomu hilo wikend tupate pakuanzia migegedo yetu😂😂😂😂😂Una addiction wewe!nitapiga bomu moja weekend usijali
Sasa mbn kitakwimu 90% mna mke mmoja hamuoni kama ni unaa tu huo?acheni ghiliba zenu.Waislam bhana niwajuavyo watasema ''kuna masharti'' yake yakhe,Mara kuwatunza,kuwahudumia je nyie wenye mke mmoja jogoo hawezi ku stand firm nini?angalau Masoud umeonesha mfano kwa allah wengine ni ushabiki tu.Kuoa MKE mmoja Ni ulemavu wa viungo vya uzazi[emoji4]
Sasa mbn akina Masoud wanaona visu tupu wabaya ataoa nani?!Fact ni kwamba ili wanawake wote duniani wapate waume ni lazima angalau kila mwanaume aowe wastani wa wake si chini ya watano.
Kwanza unafahamu fact hizi? acha ubinafsi.
Wewe ndio unalalamika mkuu au kuna watu wako humu umewajumuisha??.Halafu tunalalamika kwanini Sisi ni maskini.
Maneno ya Shekhe Kipoozeo hayo [emoji1787]Mke siyo mama yako sheikh anakuaje mmoja?
kwa maana nyingine, ukiwa na wake wanne, unapanga kama ifuatavyo:-]Kwa hiyo utaratibu ni kwamba kila mke umpangie siku yake yeye peke? Kama ndio hivyo basi kumbe hamna faida yoyote ile hapo in my humble opinion
Ndio maana nikasema kuwa kama mpangilio wenyewe ndio huo basi hauna maana kwangu mie. Raha ya wake wengi mlale kitanda kimoja wote mkiwa uchi anayetaka anacheza na 🍆 mie nacheza na matiti ya mwengine. Sio kumsubirisha mwanamke wiki tatu zotekwa maana nyingine, ukiwa na wake wanne, unapanga kama ifuatavyo:-]
1. wiki la kwanza la mwezi, kwa mke mkubwa. jiulize kama utanjunju siku saba zote ukizingatia amekusubiri wiki tatu zilizopita.
2. wiki la pili kwa mke wa pili. je? utanjunu siku zote saba? ikizingatia amekusubiria wiki tatu kwenye mzunguko.
3. wiki la tatu kwa mke wa tatu..the same applies.
4. wiki la nne unamalizia kwa mke mdogo, tena mwenye umri mdogo kuliko wote, hataki kimoja, anataka vya kueleweka. na wewe umechoka wiki tatu zilizopita umechoshwa na wake watatu wakubwa zake. swali la kujiuliza, kuna mwanamke aliyeolewa atakusubiri wiki tatu nzimba ili zamu yake ifike, wakati anajua wewe upo hapahapa mjini na unafanya ngono na wenzake? asilimia kubwa lazima watachepuka. pia, wanaume huwa tunapenda sana ngono, lakini kuna wakati inakuchosha hasa ukizingatia maisha ya siku hizi kazi nyingi, stress za kazini, kutafuta pesa n.k, uwezo wetu wa kufanya ngono mfulilizo mwezi mzima tena kwa wanawake wenye hamu za kutosha walikokuwa wanakusubiria wiki tatu nzima kwenye mzunguko wa zamu, lazima uzeeke mapema au la, unawatesa wanawake zako kwasababu inawezekana usiwamudu wote na kuwaridhisha au inawezekana wakachepuka mkasambaziana magonjwa ninyi wote watano. mwanamke mmoja tu watu wanaoa lakini kila kukichwa wanalalamika hawaridhishwi, hivi wanawake wanne ndio wataridhishwa? unaishi kwa kufanya mapenzi tu huwazi wala kufanya shughuli zingine za kiuchumi.
Mkuu hata sisi wenye mmoja tunapigiwa tu, mambo ya kupigiwa hayahusiani na idadi broo. Maisha fanya kitu inakupa furaha, akipigwa alafu wewe hujui hakuna shida hapo muhimu utulivu wa moyoakiwa na mke wa kwanza....
mke wa pili watatu na wanne wanakamuliwa
akienda kwa wa pili.... wa kwanza, watatu na wa nne wanakamuliwa
akienda kwa watatu: wa kwanza, wa pili na wanne wanakamuliwa
akienda kwa wa nne: wa kwanza, wa pili, na wa tatu watakamuliwa
halafu wakeze walivyo pisi sasa......
kuna watu watafaidi sambamba nae.......
NB
ni mtazamo wangu, povu kafulieni nguo
Soma comment za wadau mkuu. Kwanza kwa mwanaume kuwa na zaidi ya mwanamke mmoja ni nature, wengine tunafungwa na imani tu ila ukweli mke mmoja ni miyeyusho sanaMichepuko inavyolazimisha ndoa ni balaa
Hakuna mwanaume anaependa kuhangaika hiv